• Nairobi
  • Last Updated May 8th, 2024 4:26 PM

Bloga wa Jubilee Pauline Njoroge adai kuibiwa Sh300, 000 alipokamatwa na DCI

NA SAMMY WAWERU MWANABLOGU wa chama cha Jubilee, Pauline Njoroge amedai kwamba aliibiwa kima cha Sh300, 000 alipokamatwa na makachero...

Raila: Sauti ya Kindiki ni dhaifu sana kumtambua

NA SAMMY WAWERU RAILA Odinga, kiongozi wa Azimio, anaendelea kuendesha mashambulizi yake kwa Waziri wa Usalama wa Ndani Prof Kithure...

Kajala atishia kuroga mchumba wa bintiye endapo atamuanika mitandaoni

NA JOHN KIMWERE MWIGIZAJI wa Filamu za Bongo, Fridah Kajala Masanja ametishia kulaani mwanamuziki, Omary Mwanga almaarufu Marioo endapo...

Mulamwah arejea Milele FM siku chache baada ya kuondoka

MWANDISHI WETU MCHESHI David Oyando almarufu Mulamwah amerejea katika stesheni ya Milele FM, siku chache baada ya kutangaza kuacha kazi...

Raila: Askari waliangamiza watu 72 wakati wa maandamano

NA SAMMY WAWERU KINARA wa muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga ameendeleza mashambulizi kwa Idara ya Polisi (NPS) akilalamikia...

Pigo kwa Mandonga Mtu Kazi bodi ikimzaba marufuku ya kushiriki ndondi

NA SAMMY WAWERU MWANABONDIA hodari wa Tanzania, Karim Mandonga maarufu kama Mtu Kazi amepata pigo baada ya Bodi Kutathmini Ndondi...

AMINI USIAMINI: Antpitta ni ndege mwenye soni akimwangalia binadamu

NA MWORIA MUCHINA NDEGE wadogo na wenye haya ya kutangamana na watu na wanaoitwa 'Antpittas', hutegemea siafu kama chakula...

Jitihada za kundi la walemavu kushusha gharama ya malisho ya kuku  

NA MWANGI MUIRURI KUNDI la Walemavu 20 katika Kaunti ya Murang’a limeahidi kuzindua chakula cha kuku kitakachouzwa kwa bei nafuu kabla...

Afisa wa polisi alazimika kutumia mitandao kuomba mke arejee

NA SAMMY WAWERU AFISA wa polisi anauguza majeraha ya moyo kutokana na kile kinaonekana kana kwamba ametemwa na mkewe.  Akiashiria...

Huddah Monroe: Ndoa si ndoto yangu, kwa nini nijipe ‘stress’?

NA JOHN KIMWERE MWANAMITINDO na mwanasosholaiti Huddah Monroe ameelezea haja ya wahusika kwenye ndoa kuficha maisha yao binafsi, akionya...

William Kabogo akumbuka kanisa la alikozaliwa

NA SAMMY WAWERU ALIYEKUWA Gavana wa Kiambu, William Kabogo mnamo Jumapili, Agosti 13, 2023 aliungana na waumini wa Kanisa la PCEA,...

Mbunge wa UDA apendekeza Raila aanze kupewa pesa za hazina za uzeeni

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Tinderet, Julius Melly amezua mdahalo mkali mitandaoni kufuatia pendekezo lake kiongozi wa upinzani, Raila...