• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 8:55 PM

Kioni: Kenya inaongozwa na viongozi waliokataa Katiba

NA SAMMY WAWERU CHAMA cha Jubilee kimeendeleza mashambulizi yake kwa serikali ya Kenya Kwanza, kikidai taifa linaongozwa na viongozi...

Wakili Ndegwa Njiru: Polisi Watamu walikuwa wanasubiri amri kutoka juu kumwasilisha bloga Pauline Njoroge kortini

NA SAMMY WAWERU NAIBU mratibu chama cha Jubilee, Pauline Njoroge amewasilishwa Jumatatu, Julai 24, 2023 katika Mahakama Malindi ambapo...

Granton Samboja arudi kwa utangazaji redioni

NA VALENTINE OBARA ALIYEKUWA Gavana wa Taita Taveta, Bw Granton Samboja, amerudi kuwa mtangazaji redioni baada ya kimya cha miezi mingi...

Ruto awataka viongozi wa Azimio kutuma watoto wao kuongoza maandamano

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto amewakashifu vikali vinara wa Azimio la Umoja, akiwataka watumie wanao kuongoza maandamano ya...

Mwenyekiti wa Azimio Nakuru alalamikia waandamanaji kuiba sabuni  

NA SAMMY WAWERU MWENYEKITI wa Azimio la Umoja tawi la Nakuru Mashariki, Maina Kairu amekashifu vikali maandamano ya upinzani katika...

Maandamano: Maina Kairu, mwenyekiti wa Azimio Nakuru amsaliti Raila Odinga 

NA SAMMY WAWERU MWENYEKITI wa Azimio la Umoja tawi la Nakuru Mashariki, Maina Kairu amejitenga na maandamano ya muungano huo, akihoji...

Gachagua awataka viongozi wa kidini kukoma kushinikiza Rais kusaka maridhiano na Raila Odinga

NA SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua amewataka viongozi wa kidini nchini na jamii ya kimataifa kukoma kushinikiza Rais William...

Makahaba na washirika wa kanisa Thika wazozania jengo la kazi 

Na MWANGI MUIRURI  MAKAHABA wanaotegea wateja katika baa moja Mjini Thika wamelalamikia hatua ya waumini wa kanisa linalotaka wazimwe...

Miguna Miguna akosa kwenye orodha ya uteuzi wa DPP

NA SAMMY WAWERU MAJINA ya wakili na mwanaharakati Miguna Miguna yamekosa kwenye orodha ya uteuzi kusaka Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya...

Fahamu kwa nini unashauriwa kula nyama ‘halal’

NA KALUME KAZUNGU MARA nyingi utasikia au kushuhudia biashara ya nyama haramu, ikiwemo paka, mbwa na kadhalika ikiendelezwa kwenye baadhi...

Rais Ruto kwa Odinga: Sauti ya Wakenya 2022 ilikuwa maamuzi ya Mungu

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto ameendeleza mashambulizi yake kwa muungano wa Azimio la Umoja, akiutaka ukomeshe maandamano....

Yuko wapi mume wangu, Babu Owino? Fridah Ongili ataka majibu  

NA SAMMY WAWERU MKE wa Mbunge wa Embakasi Mashariki, Pauli Ongili Owino maarufu kama Babu Owino, Bi Fridah Ongili amelalamikia...