• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 3:21 PM

Cleophas Malala aongoza UDA ‘kulinda’ mali ya wafanyabiashara Kakamega    

NA SAMMY WAWERU HUKU maeneo mbalimbali nchini Jumatano, Julai 19, 2023 yakishiriki maandamano ya upinzani, Katibu Mkuu wa United...

AMINI USIAMINI: Utatozwa faini ya Sh40,000 ukimgusa Quokka

NA MWORIA MUCHINA QUOKKA, ambaye kwa jina la kisayansi ni Setonix brachyurus, ni mnyama mdogo anayefanana na kangaroo. Quokka...

Raila na Kalonzo wapokonywa walinzi

NA SAMMY WAWERU SERIKALI imewapokonya walinzi vinara wa Azimio la Umoja, katika kile kinaonekana kama kuchochewa na msimamo wao mkali...

Kamene Goro ashangazwa na matamshi ya mumewe DJ Bonez kuwa hawezi kumpigania  

NA MERCY KOSKEI NDOA ya mwanahabari Kamene Goro ipo kwenye mizani baada ya mumewe ambaye ni mcheza santuri, DJ Bonez, kukiri kwamba...

Muungano wa mapadri walia kulemewa na kiu cha mahaba

NA MWANGI MUIRURI MUUNGANO wa mapadri wa kiume ndani ya Kanisa la Katoliki wanaopinga imani ya kutooa wamesema wakati umefika wa...

Bloga wa Azimio alalamika kuachiwa ‘kangumu’ na mkewe kama ‘lunch’

NA SAMMY WAWERU MWANABLOGU wa Azimio la Umoja, Wahome Thuku mnamo Jumapili, Julai 16, 2023 aligeuka kuwa gumzo la mitandao kufuatia...

Waziri Kindiki – Sikuwa nakumbuka nilizaliwa Julai 16 

NA SAMMY WAWERU WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki alizua ucheshi katika Kanisa la Katoliki la Kaanwa, Igambang’ombe/Chuka,...

MwanaTikTok Kevin Kinuthia ajivunia gari jipya akiliita ‘Mtoto mwenye Baraka’

NA MERCY KOSKEI MWANAMITANDAO maarufu wa TikTok Kevin Kinuthia amewaacha mashabiki wake vinywa wazi baada ya kusambaza video ya gari...

Julai 16: Waziri Kindiki aadhimisha siku maalum ya kuzaliwa

NA SAMMY WAWERU WAZIRI wa Usalama wa Ndani Prof Kithure Kindiki Jumapili, Julai 16 aliadhimisha siku maalum ya kuzaliwa....

Mbunge Kwenya Thuku adai ufugaji ng’ombe Nyandarua ni dhahabu kufuatia bei bora ya maziwa

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kinangop Kwenya Thuku ametaja ufugaji ng’ombe wa maziwa Nyandarua kama mojawapo ya biashara zenye mapato ya...

Haji ni fuko wa Raila?

NA MWANGI MUIRURI MWEZI mmoja tu baada ya Mkurugenzi wa Idara ya Ujasusi nchini (NIS) Noordin Haji kuapishwa, baadhi ya wanasiasa wa...

Mpango wa kandanda Githunguri kuokoa vijana kutoka kwa kero ya pombe na mihadarati  

NA SAMMY WAWERU  MBUNGE wa Githunguri Bi Gathoni Wamuchomba amezindua mpango maalum kusaidia kukabiliana na kero ya pombe na dawa za...