NA SAMMY WAWERU HUKU maeneo mbalimbali nchini Jumatano, Julai 19, 2023 yakishiriki maandamano ya upinzani, Katibu Mkuu wa United...
NA MWORIA MUCHINA QUOKKA, ambaye kwa jina la kisayansi ni Setonix brachyurus, ni mnyama mdogo anayefanana na kangaroo. Quokka...
NA SAMMY WAWERU SERIKALI imewapokonya walinzi vinara wa Azimio la Umoja, katika kile kinaonekana kama kuchochewa na msimamo wao mkali...
NA MERCY KOSKEI NDOA ya mwanahabari Kamene Goro ipo kwenye mizani baada ya mumewe ambaye ni mcheza santuri, DJ Bonez, kukiri kwamba...
NA MWANGI MUIRURI MUUNGANO wa mapadri wa kiume ndani ya Kanisa la Katoliki wanaopinga imani ya kutooa wamesema wakati umefika wa...
NA SAMMY WAWERU MWANABLOGU wa Azimio la Umoja, Wahome Thuku mnamo Jumapili, Julai 16, 2023 aligeuka kuwa gumzo la mitandao kufuatia...
NA SAMMY WAWERU WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki alizua ucheshi katika Kanisa la Katoliki la Kaanwa, Igambang’ombe/Chuka,...
NA MERCY KOSKEI MWANAMITANDAO maarufu wa TikTok Kevin Kinuthia amewaacha mashabiki wake vinywa wazi baada ya kusambaza video ya gari...
NA SAMMY WAWERU WAZIRI wa Usalama wa Ndani Prof Kithure Kindiki Jumapili, Julai 16 aliadhimisha siku maalum ya kuzaliwa....
NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kinangop Kwenya Thuku ametaja ufugaji ng’ombe wa maziwa Nyandarua kama mojawapo ya biashara zenye mapato ya...
NA MWANGI MUIRURI MWEZI mmoja tu baada ya Mkurugenzi wa Idara ya Ujasusi nchini (NIS) Noordin Haji kuapishwa, baadhi ya wanasiasa wa...
NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Githunguri Bi Gathoni Wamuchomba amezindua mpango maalum kusaidia kukabiliana na kero ya pombe na dawa za...