• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 8:50 AM

Mkewe Guardian Angel akiri kutumia mkojo wa mamake kupata ajira

NA JOHN KIMWERE MKE wa mwimbaji wa nyimbo za injili Guardian Angel, Esther Musila amekiri kwamba wakati fulani alitumia mkojo wa mamake...

Ahadi feki za Ruto kuhusu mahindi 

NA SAMMY WAWERU MALENGO ya Rais William Ruto kuhusu kiwango cha mavuno ya mahindi 2023 yameonekana kutofautiana pakubwa na kauli ya...

Ruto ahimiza wakulima kugeukia Mungu kupata mazao tele  

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto amewapa wakulima changamoto, akiwahimiza ‘kukabidhi’ jitihada na bidii zao kwa Mwenyezi Mungu ili...

Koome atakiwa kuwataja wahusika wa sakata ya ukodishaji miili

NA CHARLES WASONGA INSPEKTA Jenerali wa Polisi Japhet Koome wiki hii ameelekezewa cheche za lawama kufuatia madai yake kwamba viongozi...

Eugene Wamalwa: Vyombo vya habari visaidie Azimio kufichua maovu ya polisi

NA SAMMY WAWERU ALIYEKUWA Waziri wa Ulinzi, Eugene Wamalwa amevisihi vyombo vya habari kusaidia muungano wa Azimio la Umoja kufichua...

AMINI USIAMINI: Kuna nyoka mwenye pua kama pembe ya kifaru

NA MWORIA MUCHINA NYOKA anayeitwa ‘Vietnamese Long-Nosed Snake’, ambaye jina lake la kisayansi ni Gonyosoma boulengeri, ana pua...

Kanini Kega alaumu Odinga kwa kukosa kuhifadhi ubunge Kieni

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), Kanini Kega, ameelezea majuto yake kwa kumuunga mkono kiongozi...

Ruto: Kanini Kega alitusumbua chini ya utawala wa Jubilee tukambandika ‘Kanini Koru’

NA SAMMY WAWERU  RAIS William Ruto amesimulia mahangaiko aliyopitishwa na aliyekuwa mbunge wa Kieni Kanini Kega, chini ya utawala wa...

Linda Njoki: Siwezi nikalia kwa sababu ya mapenzi

NA JOHN KIMWERE MSANII Linda Njoki Kinyita ni mmojawapo wa wasanii wanaoendelea kusukuma gurudumu katika tasnia ya uigizaji huku...

Akothee afichua kilichomshinikiza kujitosa kwenye malimwengu

NA MWANDISHI WETU MWANAMUZIKI Esther Akoth almaarufu Akothee amefunguka sababu zake za kutoka kanisani na kujiunga na ulimwengu hapo...

Tani za kisiasa: Gachagua aomba Rais Ruto kumpunguzia majukumu aweze kuzuru boma lake Nyeri mara kwa mara

NA SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua Jumatano, Agosti 9 alimsihi Rais William Ruto kumpunguzia majukumu aliyotwikwa ili apate...

Mapenzi jamani! Huyu unayempenda anampenda yule

NA JOHN KIMWERE JOYLEEN Akware Emojong ni mmojawapo wa waigizaji wa kike wanaopania kutinga hadhi ya kimataifa miaka ijayo akifahamu...