NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga amedai Jumatano, Julai 12, 2023 kuwa serikali imepanga kutuma kundi la wahuni...
NA SAMMY WAWERU KAUNTI ya Nyeri imeshiriki mgomo wa kitaifa wa Azimio unaoendelea kufanyika Jumatano, Julai 12, 2023 katika maeneo...
NA SAMMY WAWERU GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja amependekeza wachungaji wanaohubiri mitaani jijini na wanamuziki kulipa ada ya maeneo...
NA MWANGI MUIRURI MNAMO Julai 1, 2023 Bi Esther Ruguru, 43, alionekana mwendo wa saa mbili usiku akifunga biashara yake ya hoteli...
NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga Jumatatu, Julai 10, 2023 aliabiri matatu kuingia jijini Nairobi hatua...
NA JESSE CHENGE MJI wa Bungoma, ulioko eneobunge la Kanduyi ni wenye shughuli tele na ni katika eneo hilo tunakutana na afisa wa polisi...
NA STEPHEN ODUOR MAKAHABA katika Kaunti ya Tana River wametoa notisi ya kuongeza bei ya huduma wanazotoa kwa kile wanataja kama...
NA PATRICK KILAVUKA LUGHA ni njia ya mawasiliano. Inaweza kuwasilisha ujumbe, ushauri na kufahamisha vyema kupitia mzungumzaji. Mnenaji...
NA MWANGI MUIRURI MWANAMUZIKI wa ngoma za ushauri John Njagi anafahamika kwa ueledi wa kusuta wanaomkera kwa maneno mazito ambayo...
NA SAMMY WAWERU MHUDUMU wa bucha eneo la Ruiru, Kiambu anaandamwa na mkono wa sheria baada ya kutumbukiza kijana kwenye sufuria ya supu...
NA MWANGI MUIRURI KUTANA na Grace Wangechi Kamande mwenye umri wa miaka 27, mzawa wa Kaunti ya Kirinyaga ambaye hushiriki kilimo cha...
NA KALUME KAZUNGU SIKU ya Kiswahili Duniani imeadhimishwa kwa njia ya kipekee kisiwani Lamu ambapo wataalamu wa lugha hiyo, malenga,...