• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 11:39 AM

Maandamano: Raila adai serikali imetuma wahuni kuvuruga mkutano wa Azimio Kamukunji, hivyo basi hawatakongamana

NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga amedai Jumatano, Julai 12, 2023 kuwa serikali imepanga kutuma kundi la wahuni...

Nyeri yajiunga na maandamano ya Azimio

NA SAMMY WAWERU KAUNTI ya Nyeri imeshiriki mgomo wa kitaifa wa Azimio unaoendelea kufanyika Jumatano, Julai 12, 2023 katika maeneo...

Mapasta kulipa maelfu kufanya mahubiri jijini Nairobi

NA SAMMY WAWERU GAVANA wa Nairobi Johnson Sakaja amependekeza wachungaji wanaohubiri mitaani jijini na wanamuziki kulipa ada ya maeneo...

DCI Murang’a: Ako wapi Esther Ruguru aliyetoweka Kiria-ini Julai 1, 2023?

NA MWANGI MUIRURI MNAMO Julai 1, 2023 Bi Esther Ruguru, 43, alionekana mwendo wa saa mbili usiku akifunga biashara yake ya hoteli...

Raila Odinga alivyoingia jijini Nairobi kwa staili na kuapa kuendeleza maandamano

NA SAMMY WAWERU KINARA wa Azimio la Umoja Raila Odinga Jumatatu, Julai 10, 2023 aliabiri matatu kuingia jijini Nairobi hatua...

Kamanda Francis Kooli: Afisa tajiri wa utu na moyo kuhudumia jamii

NA JESSE CHENGE MJI wa Bungoma, ulioko eneobunge la Kanduyi ni wenye shughuli tele na ni katika eneo hilo tunakutana na afisa wa polisi...

Makahaba Tana River watangaza nyongeza ya bei ya huduma za ngono

NA STEPHEN ODUOR MAKAHABA katika Kaunti ya Tana River wametoa notisi ya kuongeza bei ya huduma wanazotoa kwa kile wanataja kama...

Ngoi hodari wa nyimbo

NA PATRICK KILAVUKA LUGHA ni njia ya mawasiliano. Inaweza kuwasilisha ujumbe, ushauri na kufahamisha vyema kupitia mzungumzaji. Mnenaji...

Mwanamuziki John Njagi anavyolima mahasidi wake kwa cheche za matusi kiusanii     

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUZIKI wa ngoma za ushauri John Njagi anafahamika kwa ueledi wa kusuta wanaomkera kwa maneno mazito ambayo...

Mhudumu wa bucha Ruiru achoma kijana kwa supu moto

NA SAMMY WAWERU MHUDUMU wa bucha eneo la Ruiru, Kiambu anaandamwa na mkono wa sheria baada ya kutumbukiza kijana kwenye sufuria ya supu...

Kidosho wa miaka 27 asema ataoleka baada ya kuwa milionea kupitia kilimo cha mahindi

NA MWANGI MUIRURI KUTANA na Grace Wangechi Kamande mwenye umri wa miaka 27, mzawa wa Kaunti ya Kirinyaga ambaye hushiriki kilimo cha...

Siku ya Kiswahili Duniani yaadhimishwa kwa njia ya kipekee Lamu

NA KALUME KAZUNGU SIKU ya Kiswahili Duniani imeadhimishwa kwa njia ya kipekee kisiwani Lamu ambapo wataalamu wa lugha hiyo, malenga,...