• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 8:50 AM

Gachagua: Wakenya wasio na kazi hawatatozwa ushuru

Na WANGU KANURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua amewaahidi Wakenya wasio na kazi kuwa hawatatozwa ushuru. Huku mjadala wa Mswada wa Fedha...

Sabina Chege: Yaliyopita si ndwele

Na SAMMY WAWERU SIKU moja baada ya kupewa marufuku ya muda bungeni, mbunge maalum Sabina Chege amehimiza haja ya kusahau yaliyopita....

NiE: Mkataba wa NMG na KIWASCO unavyopiga jeki elimu Kisumu

NA CHRIS ADUNGO KAMPUNI ya kusambaza maji na kushughulikia usafi ya kule Kisumu, KIWASCO ilishirikiana na shirika la Nation Media Group...

Naibu Rais: Nimeokoka na majina yangu kamili ni Geoffrey Rigathi Gachagua

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais wa sasa wa Kenya, wengi wanamjua kwa majina mawili pekee, ndiyo Rigathi Gachagua. Ujasiri na ukakamavu...

Infinix yazindua simu mpya aina ya NOTE 30 series

NA WINNIE ONYANDO KAMPUNI ya kutengeneza simu ya Infinix imezindua aina mpya ya simu iliyo na uwezo wa kunasa picha bora. Simu hiyo...

KASHESHE: Betty Kyalo azungumzia ndoa yake iliyovunjika

NA JOHN KIMWERE MWANABAHARI Betty Kyalo ameshikilia kuwa bado hawezi kueleza kilichochangia kuvunjika kwa ndoa yake na aliyekuwa mumewe...

AMINI USIAMINI: ‘Bullet ant’ akiuma sehemu yoyote ya mwili utadhani umepigwa risasi

NA MWORIA MUCHINA SIAFU anayefahamika kwa Kiingereza kama ‘bullet ant’ akikuuma utahisi uchungu kama mtu aliyepigwa risasi....

Bado nasubiri jibu la demu miaka 2 sasa!

Salamu shangazi. Nina huzuni nyingi moyoni kuhusu mwanamke ninayempenda. Nilimwambia wazi kuwa nampenda na amenihangaisha kwa miaka miwili...

Njugush: Kuna wakati nilisafiri nje ya nchi kuwachekesha watu lakini ni watu sita walijitokeza

Na MWANDISHI WETU MCHESHI Timothy Kimani almaarufu Njugush ameeleza uvumilivu na bidii katika safari yake ya ucheshi. Akizungumza...

Ruto na Gachagua: Tutawachukulia hatua kali wabunge wanaopinga Mswada wa Fedha 2023  

Na MWANDISHI WETU RAIS William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua waliapa kuwachukulia hatua kali wabunge watakaopinga Mswada wa Fedha...

Mishi Dorah atoka soko, si ‘singo’ tena

NA MERCY KOSKEI  ALIYEKUWA mwigizaji wa Nairobi Diaries, Diana Clara Ojenge almaarufu Mishi Dorah amefunga pingu za maisha na mpenzi...

Waziri Kindiki: Serikali ilichelewa sana kufika Shakahola   

  Na WANGU KANURI WAZIRI wa Usalama wa Ndani Profesa Kithure Kindiki alijutia serikali ilichelewa kufika Shakahola kabla maisha...