Na WANGU KANURI NAIBU Rais Rigathi Gachagua amewaahidi Wakenya wasio na kazi kuwa hawatatozwa ushuru. Huku mjadala wa Mswada wa Fedha...
Na SAMMY WAWERU SIKU moja baada ya kupewa marufuku ya muda bungeni, mbunge maalum Sabina Chege amehimiza haja ya kusahau yaliyopita....
NA CHRIS ADUNGO KAMPUNI ya kusambaza maji na kushughulikia usafi ya kule Kisumu, KIWASCO ilishirikiana na shirika la Nation Media Group...
NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais wa sasa wa Kenya, wengi wanamjua kwa majina mawili pekee, ndiyo Rigathi Gachagua. Ujasiri na ukakamavu...
NA WINNIE ONYANDO KAMPUNI ya kutengeneza simu ya Infinix imezindua aina mpya ya simu iliyo na uwezo wa kunasa picha bora. Simu hiyo...
NA JOHN KIMWERE MWANABAHARI Betty Kyalo ameshikilia kuwa bado hawezi kueleza kilichochangia kuvunjika kwa ndoa yake na aliyekuwa mumewe...
NA MWORIA MUCHINA SIAFU anayefahamika kwa Kiingereza kama ‘bullet ant’ akikuuma utahisi uchungu kama mtu aliyepigwa risasi....
Salamu shangazi. Nina huzuni nyingi moyoni kuhusu mwanamke ninayempenda. Nilimwambia wazi kuwa nampenda na amenihangaisha kwa miaka miwili...
Na MWANDISHI WETU MCHESHI Timothy Kimani almaarufu Njugush ameeleza uvumilivu na bidii katika safari yake ya ucheshi. Akizungumza...
Na MWANDISHI WETU RAIS William Ruto na naibu wake Rigathi Gachagua waliapa kuwachukulia hatua kali wabunge watakaopinga Mswada wa Fedha...
NA MERCY KOSKEI ALIYEKUWA mwigizaji wa Nairobi Diaries, Diana Clara Ojenge almaarufu Mishi Dorah amefunga pingu za maisha na mpenzi...
Na WANGU KANURI WAZIRI wa Usalama wa Ndani Profesa Kithure Kindiki alijutia serikali ilichelewa kufika Shakahola kabla maisha...