• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 7:50 AM

Prof Kindiki: Rais Ruto hulala saa zisizozidi tatu, anawazia Kenya 

Na SAMMY WAWERU  WAZIRI wa Usalama wa Ndani Kithure Kindiki ameunga mkono kauli ya Rais William Ruto anayodai kuwa hapati usingizi kwa...

Dj Brownskin akamatwa kwa kusaidia mkewe kujitia kitanzi  

  NA MERCY KOSKEI MICHAEL Macharia Njiiri, almaarufu DJ Brownskin, anazuiliwa katika kituo cha polisi cha Kasarani kufuatia kifo...

GK, mbunge wa Ndia apiga jeki Mswada wa Fedha 2023

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Ndia, Kirinyaga, George Macharia Kariuki almaarufu GK ametangaza kuunga mkono Mswada tata wa Fedha...

Akothee na mumewe, fungate yapamba moto

NA SAMMY WAWERU MAPENZI motomoto yameendelea kusheheni kati ya mwanamuziki Esther Akoth ‘Akothee’ na mumewe Dennis Schweitzer....

Madaraka Dei 2023: Rais Ruto aahidi kuzindua bodaboda zinazotumia nguvu za umeme

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto ameahidi kuwa serikali yake inaendeleza mikakati kuleta nchini pikipiki zisizotumia mafuta ya...

Rais apuuza itifaki za kijeshi na kuamuru waliofungiwa nje ya uwanja waruhusiwe kuingia

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto Alhamisi, Juni 1, 2023 alipuuza itifaki za kijeshi kuhusu hafla za kitaifa, ambapo baada ya kiongozi...

Rais Ruto awasili akiwa amechelewa Embu kuadhimisha Madaraka Dei 2023    

  NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto alichelewa kuwasili katika Uwanja wa Moi, Embu ambako maadhimisho ya Madaraka Dei 2023...

Ntalami aomboleza kifo cha mbwa wake

NA MERCY KOSKEI MJASIRIMALI na mwanzilishi wa Marini Naturals, Bi Michelle Ntalami, anaomboleza kifo cha mbwa wake. Mbwa huyo kwa...

Erick Omondi na Amber Ray kuporomosha kibao pamoja

NA MERCY KOSKEI MCHESHI Erick Omondi na mwanasosholaiti Amber Ray wametangaza kuwa wamejitosa kwenye muziki huku wakitarajia kutoa...

Kamene na Bonez washangaza wakidai hutumia mswaki mmoja  

  NA MERCY KOSKEI ALIYEKUWA mtangazaji wa Kiss FM, Kamene Goro na mpenzi wake DJ Bonez wamewaacha wanamitandao kwa mshangao...

Vituko: Sonko athibitisha ‘blingi’ zake si feki

Na MWANDISHI WETU ALIYEKUWA gavana wa Nairobi Mike Sonko alithibitisha kuwa blingi (vito) anavyovaa vya dhahabu si ghushi. Kwenye...

Waliovamia shamba la familia ya Uhuru Kenyatta kukamatwa

NA SAMMY WAWERU MSAKO wa wahuni waliovamia shamba la familia ya Rais mstaafu Uhuru Kenyatta Machi 2023, unatarajiwa kuanza hivi...