• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Wanabodaboda walia abiria wa kike kuwaweka majaribuni kimapenzi

KNA NA GEORGE ODIWUOR WAHUDUMU wa bodaboda kutoka Kaunti ya Mombasa, wamelalamika wakidai kuwa, baadhi ya abiria wao wa kike huwadhulumu...

Gachagua asimulia alivyozuru kanisa Kericho nusu ya waumini wakiwa walevi

NA SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua amesimulia alivyozuru kanisa moja Kericho na kukuta nusu ya waumini wakiwa walevi...

JIPENDE: Tabia zinazoonyesha mja hajiamini

NA MARGARET MAINA [email protected] Kujisema vibaya UAMUZI wa kujikosoa mara kwa mara na kujizungumzia vibaya ni mojawapo ya...

Gachagua: Ni heri nipoteze umaarufu kuliko kuruhusu vijana waangamizwe na pombe haramu   

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Rigathi Gachagua amesisitiza kuwa kamwe hatalegeza kamba msimamo wake mkali dhidi ya pombe haramu na dawa za...

Ezekiel Mutua: Mchungaji wako si babako au mamako, komeni upuzi huo

Na MWANDISHI WETU AFISA Mkuu Mtendaji Chama cha Wanamuziki Nchini (MCSK) Ezekiel Mutua ameunga mkono kuwa kuwaita viongozi wa kanisa...

Harusi ya kukata na shoka ya wanandoa wenye ulemavu kuskia na kuzungumza

NA MERCY KOSKEI WANANDOA walio na ulemavu wa kuskia (viziwi) na kuzungumza (bubu) kutoka Kaunti ya Nakuru Jumapili, Mei 28, 2023...

Kioja ndume wa kupigana wakifurusha waombolezaji Kakamega  

  NA TITUS OMINDE MAZISHI ya askofu mmoja katika kijiji cha Burimbuli, Shihuli, Kaunti ya Kakamega mnamo Jumamosi, Mei 27, 2023...

Gaucho amlilia Uhuru Kenyatta amjengee nyumba

Na WINNIE ONYANDO RAIS wa Bunge la Mwananchi Calvince Okoth almaarufu Gaucho sasa anataka Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta amjengee...

Kituo cha kwanza kuchajia magari ya umeme Nakuru

NA MERCY KOSKEI MAGARI yanayotumia nguvu za umeme yanaendelea kupata umaarufu nchini Kenya kwani madereva wengi katika miji tofauti...

Gaucho: Uhuru hajaninunulia gari

Na WINNIE ONYANDO RAIS wa Bunge la Mwananchi Calvince Okoth almaarufu Gaucho amepuuzilia mbali madai kuwa Rais Mstaafu, Uhuru Kenyatta...

Richie Spice kutumbuiza na kula ngege Kisumu

RUSHDIE OUDIA Na ALI JUMANNE MWANAMUZIKI Richell Bonner almaarufu Richie Spice ambaye tayari yuko jijini Nairobi anatarajiwa pia kuzuru...

KFCB yatumia wasanii kupigana na wizi wa mifugo

NA TITUS OMINDE BODI ya Uainishaji wa Filamu Nchini (KFCB) imegeukia muziki na sanaa kusaidia kukabiliana na kero la wizi wa mifugo...