• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 12:18 PM

Kampeni ya kunyofoa nyeti za wazee Murang’a yapingwa na wataalamu

Na MWANGI MUIRURI KUMEZUKA kampeni zinazolenga wazee wa kiume katika Kaunti ya Murang'a wahasiwe ili waepuke Saratani ya kiungo...

JIPANGE KABLA UPANGWE: Ratiba ya asubuhi ndio silaha yako ya siri

NA MARGARET MAINA [email protected] NI muhimu uwe na ratiba ya asubuhi ambayo itakuongoza wewe na familia yako kuwa na mpangilio...

Barobaro ajitokeza akidai yeye ni mtoto wa KRG the Don

NA MERCY KOSKEI MVULANA mwenye umri wa miaka 18 amejitokeza na kudai kuwa msanii KRG the Don ni babake. Hii inajiri baada ya...

Jinsi ya kudumisha usafi wa ndani ya chumba chako cha kulala

NA MARGARET MAINA [email protected] UNAHITAJI chumba cha kulala ambacho ni nadhifu ili uwe na utulivu unapopumzika ama peke yako...

Mwanasiasa Githurai ajitia kitanzi

NA SAMMY WAWERU POLISI katika mtaa wa Githurai 45, Nairobi wameanzisha uchunguzi kubaini kiini cha mwanasiasa kujitia kitanzi Jumatatu,...

Kitendawili cha nyanya kupatikana ‘amejinyonga’ akiwa amesimama Murang’a

Na MWANGI MUIRURI FAMILIA moja katika Kaunti ya Murang'a inaitaka Idara ya Uchunguzi wa Jinai (DCI) iwaelezee jinsi Bi Jane Beth Waigwe...

Baha achukua mapumziko mafupi mitandaoni

NA MERCY KOSKEI MUIGIZAJI wa zamani wa Kipindi cha Machachari, Tyler Mbaya maarufu kama Baha ametangaza kuwa anachukua mapumziko ya...

Wakazi walaumu MCA kwa unyakuzi wa ardhi

NA TITUS OMINDE ZAIDI ya familia 100 zilizohamishiwa katika mtaa wa Kipkaren viungani mwa mji wa Eldoret, zinataka idara ya Upelelezi wa...

Waziri Kindiki: Tutafanya maombi Shakahola kuondoa laana

NA SAMMY WAWERU WAZIRI wa Usalama wa Ndani, Kithure Kindiki ametangaza kwamba serikali itaandaa maombi katika Msitu wa Shakahola, Malindi...

Gachagua adai wana Azimio walivalia sufuria kichwani kwa sababu ya kutmbea na Prof Wajackoyah

NA SAMMY WAWERU NAIBU wa Rais Rigathi Gachagua sasa ameelekeza mashambulizi kwa kiongozi wa Roots Party George Wajackoyah, akidai...

Sabina Chege alia waheshimiwa bungeni kumuibia simu aina ya iphone 14

NA SAMMY WAWERU MBUNGE maalum Sabina Chege amedai kuwa simu yake yenye thamani kubwa, iliibwa bungeni. Bi Chege, alisema...

Msanii Mammito alia kwa kuzuiwa kuingia Ikulu Nairobi

NA MERCY KOSKEI MCHEKESHAJI maarufu Mammito amekejeli hali yake baada ya kuzuiwa kuhudhuria hafla ya uzinduzi wa Talanta Hela katika...