• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Ukizoea kufakamia mapochopocho utasumbuliwa na protini nyingi mwilini!

NA MARGARET MAINA [email protected] INGAWA ulaji wa protini ni muhimu kwa afya, lishe yenye afya, ni muhimu kujua dalili za...

Ezekiel Odero atua jijini Nairobi kuhubiri injili

NA SAMMY WAWERU SIKU chache baada ya kuachiliwa na mahakama, Mhubiri Ezekiel Odero amesafiri jijini Nairobi ‘kuhubiri injili’....

Ishara na dalili za upungufu wa vitamini C mwilini

NA MARGARET MAINA [email protected] VIASHIRIA vya upungufu wa vitamini C vinaweza kujumuisha uchovu, michubuko rahisi, na...

SIHA NA LISHE: Fahamu mlo sahihi ikiwa wewe ni ‘vegan’

NA MARGARET MAINA [email protected] MLO wa mboga unaendelea kupata umaarufu.  Lishe ya mboga inaweza kupunguzia mlaji hatari...

Umuhimu na faida ya magnesiamu mwilini

NA MARGARET MAINA [email protected] MAGNESIAMU ni madini muhimu ambayo mwili wako hautengenezi kumaanisha ni lazima uyapate...

Idadi ya chui yapungua Maasai Mara

Na RICHARD MUNGUTI WAHIFADHI wa Wanyamapori wameeleza masikitiko yao kwa kuendelea kupungua kwa idadi ya chui katika hifadhi ya kitaifa...

MAPISHI KIKWETU: Mchicha

NA MARGARET MAINA [email protected] KITOWEO cha mchicha hupikwa kwa sufuria moja ambapo mwanzo mchicha uliokatwakatwa hupikwa na...

Akothee na Jaguar wakabana koo kuhusu utajiri

NA MERCY KOSKEI WAZIRI msaidizi (CAS) Charles Njagua almaarufu Jaguar na mwimbaji Esther Akoth – Akothee wameendelea kupimana nguvu...

Alai na Sonko wavuana mashati mtandaoni

Na MWANDISHI WETU MWAKILISHI wa wadi ya Kileleshwa Robert Alai amemsuta aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko kwa kujinasa videoni...

Yesu Wa Tongaren sasa ni huru kusafisha dhambi za Wakenya

NA SAMMY WAWERU MHUBIRI Eliud Simiyu maarufu kama Yesu Wa Tongaren ameachiliwa huru baada ya Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu wa Mashtaka ya...

Vidokezo mahususi kwa vijana kupunguza uzani

NA MARGARET MAINA [email protected] KUPUNGUZA uzani wa mwili kwa kiasi fulani kunaweza kuboresha afya. Kunafanya mja kujistahi,...

SIHA NA LISHE: Tunda la chenza

NA MARGARET MAINA [email protected] CHENZA ni tunda la jamii ya chungwa lenye ganda laini. Hivyo ni rahisi kulimenya tunda...