• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

PENZI LA KIJANJA: Kuchagua mchumba kunahitaji hekima si hisia tu

NA BENSON MATHEKA ANAWEZA kuwa na pesa na akufanye ulie kwa kutowajibika kwako, anaweza kuwa na miraba minne na aitumie kukudhulumu...

Shakahola: Wanaotafuta jamaa wasema ngoja ngoja yaumiza

ALEX KALAMA Na FARHIYA HUSSEIN  ZAIDI ya familia 93 za waliopigiwa simu kuenda kuchukuliwa sampuli za vinasaba (DNA) zina matumaini ya...

AFC yakabiliwa na changamoto kufadhili kilimo

Na RICHARD MUNGUTI  SHIRIKA la Kufadhili Kilimo Nchini (AFC) linakabiiliwa na changamoto za kutoa mikopo kwa wakulima kununua pembejeo...

KIPWANI: “Naskia fiti, naskia poa…”

NA SINDA MATIKO “SIJUI mbona naskia fiti, naskia poa, mbona naskia fiti naskia poa mi naskia...” Utakuwa unajua ni mshororo wa hiti...

BORESHA AFYA: Fahamu vyakula vinavyoshibisha sana

NA MARGARET MAINA [email protected] VYAKULA ambavyo havijachakatwa vilivyo na protini nyingi na nyuzinyuzi kwa ujumla vitakuacha...

GWIJI WA WIKI: Phylis Kemunto

NA CHRIS ADUNGO PHYLIS Kemunto ni miongoni mwa wasanii wa humu nchini wanaoinukia vyema na kwa kasi katika tasnia ya muziki. Upekee wake...

SHINA LA UHAI: Mabadiliko ya tabianchi yanavyochangia ongezeko la maradhi Afrika

NA PAULINE ONGAJI KATIKA kitongoji duni cha Kangemi, Kaunti ya Nairobi, Bi Beth* anaendelea kupokea matibabu dhidi ya maradhi ya kifua...

Alice Wangui Munyua: Mtaalamu wa afya na mwandishi hodari

NA MAGDALENE WANJA BI Alice Wangui Munyua alizaliwa katika kijiji cha Gichichi, eneobunge la Othaya katika Kaunti ya Nyeri. Ndoto...

JUNGU KUU: Ruto atarajie presha kali kutoka kwa Raila

NA WANDERI KAMAU UREJEO wa kiongozi wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga, nchini unatarajiwa kuongeza shinikizo kwa Rais William Ruto...

BAHARI YA MAPENZI: Uvumilivu ni mzuri ila nao una mipaka

NA BENSON MATHEKA NDOA ni kuvumiliana na bila uvumilivu ndoa haiwezi kufaulu. Kuvumilia kunamaanisha kukubali hali mbaya na ngumu...

Ni mzaha tu, mke wa Samidoh si mjamzito

Na SAMMY WAWERU MKE wa mwanamuziki wa nyimbo za Mugithi Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh, Edday Nderitu Alhamisi usiku alitangaza...

MAPISHI KIKWETU: Nyama, brokoli na wali

NA MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 10 Muda wa mapishi: Dakika 40 Walaji: 4 Vinavyohitajika ...