• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 7:50 AM

Wamekwepa skendo na drama licha ya kuweka penzi hadharani

NA SINDA MATIKO UNAPOKUWA staa tena uwe kwenye mahusiano, ni vigumu sana kuepuka mahusiano yako kupigwa msasa. Mapaparazi siku zote...

Nazizi afunguka jinsi mwanawe mdogo alifariki wakiwa hotelini Tanzania

NA SINDA MATIKO MIEZI mitatu baadaye, rapa Nazizi kwa mara ya kwanza amefunguka mazingira yaliyopelekea mwanawe kufariki huku akikana...

Meneja alia kukaushwa tangu Stevo Simple Boy azirai kwenye runinga

NA FRIDAH OKACHI CHINGIBOY Mstado ambaye ni meneja wa msanii Stephen Otieno Adera almaarufu Stivo Simple Boy amefichua kutokuwa na...

Majonzi ya familia ya msichana aliyepotea dakika kadhaa akapatwa ameuawa

MERCY MWENDE NA LABAAN SHABAAN MSICHANA wa umri wa miaka 13 aliyepatikana amefariki katika shamba la mahindi Nyeri anadaiwa kutupwa kabla...

Miaka tisa ya majeraha yasiyopona: Simulizi za wahanga wa shambulio la Chuo Kikuu cha Garissa

Na JESSE CHENGE MIAKA tisa imepita tangu tukio la kutisha lilipotokea katika Chuo Kikuu cha Garissa, lakini waathirika bado...

Mkulima aliyechanganya maparachichi ndani ya shamba la chai na matokeo ni tabasamu tu!

NA LABAAN SHABAAN WAKULIMA wengi wakiganda na majani chai eneobunge la Konoin Kaunti ya Bomet, Moses Limo ni mmoja wa wakulima...

Mcheshi Butita atishia kuuza gari kwa kusengenywa eti amewekwa na ‘mumama’

Na SINDA MATIKO Butita awaza kuliuza gari lake la 5M Jaguar XE kisa madai ya 'limama' TOKA penzi lake na mchekeshaji mwenza Mamitto...

Eneo ambalo hakuna bucha hata moja, nyama huchinjwa na kuuzwa chini ya mti msituni

NA OSCAR KAKAI NI saa nne asubuhi, Jumamosi ndani ya msitu, nyama ya mbuzi inaning’inia juu ya mti huku vijana watatu wenye nguvu...

Mshukiwa wa mauaji alivyotia wakazi hofu kwa kutoa ‘orodha’ ya anaotaka kuchinja

UPDATE: Kamanda wa polisi Murang'a Kainga Mathiu amethibitisha kukamatwa kwake Na MWANGI MUIRURI WENYEJI wa kijiji cha Chui kilichoko...

Sasa kuna teknolojia ya kukwambia unavyoweza kutumia ardhi kwa manufaa zaidi

NA RICHARD MAOSI Ardhi ni zana muhimu kwa ajili ya kutosheleza mahitaji ya chakula nchini. Wataalam wanasema mbali na kuwa utajiri,...

Hivi kumbe mwimbaji wa injili kutoka Tanzania Christina Shusho ndio kiboko ya Gen Z wa Kenya?

NA SINDA MATIKO NDIVYO hivyo. Kwa mujibu wa ripoti ya hivi majuzi kuelekea msimu wa Pasaka, kutoka kwa tuvuti ya kupakua muziki,...

Mkulima Nakuru aliyeacha majirani vinywa wazi kwa kung’oa mahindi na kupanda matunda

NA JOHN NJOROGE Ni nyakati za adhuhuri tunapowasili katika eneo la Kapsinendet, Mariashoni takriban kilomita tisa kutoka Mji wa Elburgon...