• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 4:43 PM

BORESHA AFYA YAKO: Mbaazi ni mlo mtamu wenye faida tele kwa afya ya binadamu

NA MARGARET MAINA [email protected] MBAAZI zimekuwa zikikuzwa na kuliwa katika nchi za Mashariki ya Kati kwa maelfu ya...

SHINA LA UHAI: Changamoto za wanaosikia kupitia kwa sikio moja

NA WANGU KANURI MWENDWA Mbaabu,41, alipozaliwa sikio lake la kushoto halikuwa linasikia. Hata hivyo, wazazi wake waligundua kuwa...

Thamani ya kofia za vito si mzaha!

NA KALUME KAZUNGU KILA Ijumaa utawapata wanaume wa Kiislamu wakivalia kanzu na kofia za vito kuelekea msikitini kwa sala. Uvaliaji wa...

BAHARI YA MAPENZI: Mdada pia ana haki ya kumrushia chali mistari

NA BENSON MATHEKA KUNA kanuni isiyopatikana katika vitabu vya sheria na pengine vya kidini kwamba ni mwanamume anayepaswa kurushia...

PENZI LA KIJANJA: Urembo ni bonasi, gharimikia uhusiano

NA BENSON MATHEKA IKIWA unadai unapenda mwanamume ilhali kazi yako ni kutaka akutimizie na kukidhi mahitaji yako yote, utajua...

JUNGU KUU: Mipasuko yadhihirika katika Kenya Kwanza

NA BENSON MATHEKA UASI wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya dhidi ya serikali na wito wa kuvunjwa kwa vyama tanzu vya Kenya Kwanza...

KIKOLEZO: TikTok inatesa, ndio, lakini Kenya haileti doo!

NA SINDA MATIKO MOJA kati ya mitandao ya kijamii ambayo kwa sasa ndio habari za mjini ni TikTok. Mastaa kibao wamezaliwa kwenye App...

Shirleen analenga kutamba kinoma katika uigizaji

NA JOHN KIMWERE  PENYE nia pana njia. Ndivyo wahenga walivyolonga na tangia zama zile ndivyo hali ilivyo hadi sasa. Ni msemo...

Hii imeenda! Samidoh atambulisha mpango wake wa kando, Karen Nyamu, kuwa mkewe

NA SAMMY WAWERU   EDDAY Nderitu, ambaye ni mke wa kwanza wa mwimbaji wa nyimbo za Mugithi, Samuel Muchoki maarufu kama Samidoh huenda...

MIZANI YA HOJA: Katu usimfanyie ujeuri wala dhihaka mtu yeyote aliyewahi kukutendea wema au kukufaa

NA WALLAH BIN WALLAH WEMA haununuliwi dukani wala hauchuuzwi sokoni. Wema hutokana na hulka na utu wa mtu mwenyewe. Mtu akiamua...

GWIJI WA WIKI: Mwanahabari Selly ‘Kadot’ Amutabi

NA CHRIS ADUNGO UANAHABARI ni taaluma ambayo Selly ‘Kadot’ Amutabi alianza kuvutiwa nayo katika umri mdogo. Alianza safari ya elimu...

Wanafuga samaki wa kiume pekee kufungia nje ushindani

NA PETER CHANGTOEK KATIKA umbali wa kilomita takribani 60 kutoka jijini Nairobi, shamba moja la ufugaji samaki linatambulika kwa wengi....