• Nairobi
  • Last Updated May 6th, 2024 10:55 AM

KIKOLEZO: Maisha na mikasa ya nguli Tedd Josiah

NA SINDA MATIKO NILIMKUTILIZA Edmond Josiah almaarufu Tedd Josiah, akiwa anajipangapanga kwenye makao yake mapya yaliyopo mtaa wa kifahari...

MAWAIDHA YA KIISLAMU: Umuhimu wa vazi la hijabu kwa mwanamke Mwislamu

NA HAWA ALI SIFA zote njema anastahiki Mwenyezi Mungu Subuhaanahu wata'ala, mwingi wa Rehema na mwenye kurehemu. Swala na salamu...

MIZANI YA HOJA: Omba Mungu sana ili akupe uwezo pamoja na mawazo ya kufikiri uishi vizuri duniani

NA WALLAH BIN WALLAH KUFIKIRI ni kazi. Kufikiri kunamsaidia mtu kufikiria atakavyoishi, atakavyokula, atakavyovaa na atakavyopata mahitaji...

GWIJI WA WIKI: Subiri Jay

NA CHRIS ADUNGO NDOTO ya kuwa mwanamuziki ilianza kumtambalia Subiri Jay katika umri mdogo. Wazazi wake walimruhusu ajiunge na makundi...

ZARAA: Atambua vinyonga ni dawa ya wadudu shambani

NA SAMMY WAWERU SHAMBA la Charles Mburu ni bustani ya mseto wa matunda, mengi akiwa anayakuza kwa minajili ya biashara. Limesheheni...

UJASIRIAMALI: Msanifu stadi, kazi ameweka blockcheni

NA MARGARET MAINA WAKATI hafanyi kazi na Naivaa, chapa ya mitindo aliyoianzisha alipokuwa akisoma katika Chuo Kikuu cha Manchester, Joel...

ZARAA: Kazi ilikosekana, akajipa ya ukulima na wala hajuti

NA PETER CHANGTOEK BAADA ya kusaka ajira kwa muda mrefu pasi na mafanikio, Jackson Sawe aliamua kujitosa katika ukuzaji wa...

SHINA LA UHAI: Mradi walenga kuokoa wanawake ukiangazia HIV, kansa

NA PAULINE ONGAJI MIAKA miwili iliyopita Bi Caroline Adhiambo Dede, mkazi wa kijiji cha Mariwa, Kaunti ya Homa Bay, kama kawaida alizuru...

MWALIMU WA WIKI: Ni mwalimu mwandishi anayelenga uanahabari

NA CHRIS ADUNGO YEYOTE ambaye amesomea kazi ya ualimu anatakiwa kuwa kielelezo chema, mwadilifu na mwajibikaji. Zaidi ya kuwa mbunifu...

TALANTA: Gwiji wa sataranji

NA RICHARD MAOSI MCHEZO wa Sataranji almaarufu Chess unaweza kuchezwa na kundi la watu wenye umri wowote, sehemu yoyote ikiwemo ndani na...

UJASIRIAMALI: Jukwaa la kuwapa fursa watu wenye uwezo wa kawaida kujiamini, kupata kazi

NA MAGDALENE WANJA KATIKA masomo yake ya shule ya upili, Bryan Chesoli alitambulika kama mwanafunzi wa kiwango cha kawaida tu. Jambo...

JAMVI LA SIASA: ‘Jeshi’ la Uhuru lililobaki Mlimani lafagiliwa lote

NA WANDERI KAMAU WAANDANI wachache wa Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta waliokuwa wamebaki katika ngome yake ya Mlima Kenya sasa wameanza...