• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:07 PM

SHINA LA UHAI: Ripoti yaonyesha mzigo na janga kuu la kansa nchini

NA PAULINE ONGAJI KWA kila Wakenya watatu wanaobainishwa kuugua kansa, wawili kati yao hufariki, idadi inayowakilisha takriban asilimia...

MWALIMU WA WIKI: Kirika atamba si darasani si ugani

Na CHRIS ADUNGO MWALIMU bora ni rafiki wa wanafunzi wote anaowafundisha. Kutokana na ukaribu wao, wanafunzi huwa radhi kabisa kumweleza...

PAUKWA: Mchelea mwana kulia hulia yeye mwenyewe

NA ENOCK NYARIKI GIZA la kaniki lilitanda kote katika shule ya wavulana ya Jitahidi. Sauti pekee zilizosikika japo kwa aliyepita nje ya...

TALANTA YANGU: Dogo mkali wa kubofya piano

NA RICHARD MAOSI MAFUNZO ya namna ya kucheza piano huendeshwa hatua kwa hatua kwa sababu kila kibonye cha kibodi hutoa sauti tofauti. Kwa...

UJAUZITO NA UZAZI: Uvimbe ndani ya pua ya mtoto

NA PAULINE ONGAJI SHIDA ya uvimbe kujitokeza katika sehemu ya ndani ya pua la mtoto husababishia wazazi wengi wasiwasi. Hali hii...

HUKU USWAHILINI: Kuna jibaba huku limeshindwa kumdekeza mke inavyotakikana

NA SIZARINA HAMISI WANAWAKE wanaoishi Uswahilini, huwa wanavumilia mengi kwenye ndoa zao. Kwamba wapo wanaoishi na waume zao kama...

JUNGU KUU: Vita vya Uhuru na Ruto kufaidi Raila

NA CHARLES WASONGA VITA vipya vilivyochipuza kati ya Rais William Ruto na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta huenda vikamfaidi kiongozi wa...

Ruto anavyomfufua Uhuru kisiasa

NA WANDERI KAMAU HATUA ya serikali ya Rais William Ruto kumpunguzia walinzi Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na baadhi ya waliokuwa mawaziri...

MALEZI KIDIJITALI: Likizo ya dijitali hutuliza watoto

URAIBU wa dijitali umelemea baadhi ya watoto na wataalamu wa malezi wanasema ni kawaida enzi hizi za vifaa bebe. Hata hivyo, wanasema hii...

MAPISHI KIKWETU: Kaimati za mboga

NA PAULINE ONGAJI Viungo unavyohitaji Unga wa ngano, kilo – ½ Maji au maziwa, lita – ½ Sukari, gramu – 200 Siagi,...

WALIOBOBEA: Haji: Afisa wa utawala na mwanasiasa nguli

KWA HISANI YA KENYA YEARBOOK MOHAMMED Yusuf Haji alikuwa mmoja wa wakuu wa mikoa chini ya utawala wa chama cha KANU hadi 1997,...

KIGODA CHA PWANI: Uamuzi wa mahakama utaunganisha viongozi wa Kaunti ya Kwale

NA PHILIP MUYANGA BAADA ya Mahakama Kuu kuthibitisha kuchaguliwa kwa Bi Fatuma Achani kama gavana wa Kwale maoni tofauti tofauti...