• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Kijana mjasiriamali atangaza nia ya kufuata nyayo za Ruto

NA ABDULRAHMAN SHERIFF JUMBA lililokuwa la sinema ya Moons iliyokuwa maarufu Mombasa lilikosa kutumika kwa miaka kadhaa baada ya wapenzi...

PAUKWA: Ujanja wanusuru Msanii asifutwe kazi na Kaburu

NA ENOCK NYARIKI JIONI watalii na waelekezi wao walirejea vilipokuwa vyumba vya kupanga. Juma, mkuu wa Idara ya Parachuti, aliondoka...

JAMVI LA SIASA: Maasi ya Raila ni ‘moto wa karatasi’

NA BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga anapotarajiwa kuongoza mkutano wa pili wa hadhara jijini Nairobi...

WALIOBOBEA: Soita aliifaulisha miradi mingi ya makao katika enzi ya Kibaki

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK PETER Soita Shitanda alikuwa kile ambacho waziri katika serikali ya Rais Mwai Kibaki alipaswa kuwa....

DARUBINI YA WIKI, Januari 29, 2023  

DARUBINI YA WIKI, Januari 29, 2023 Raila: Tulishinda kwa haki na ukweli Mhariri: Baada ya uchaguzi, huu ni wakati wa kuanza kuponya...

KASHESHE: Elba aipa shavu KE

NA SINDA MATIKO MWIGIZAJI staa Idris Elba ameipa shavu Kenya, akiitaja kuwa moja kati ya sehemu anazozizimia. Kwenye mahojiano yake...

Jared Mwanduka: Mwanzilishi wa programu ya LearnsoftERP inayorahisisha kazi shuleni

Na MAGDALENE WANJA HATA kabla ya kufuzu katika Chuo Kikuu cha Kenyatta (KU) mnamo mwaka 2016, Jared Mwanduka tayari alikuwa amevumbua...

Fahamu jinsi unavyoweza kuhifadhi mazingira kwa kutumia jiko linalotegemea nishati ya miale ya jua

NA MAGDALENE WANJA UTOTONI, Justine Abuga alitaka kuwa daktari kwani alipenda sana masomo ya sayansi na alitaka kusaidia jamii...

DOMO: Yani Insta Babes hawaishi visanga

NA MWANAMIPASHO WIKI hii imekuwa nzito kweli na yeye matukio kibao. Sio kwa baadhi yenu kuibuka na picha za uchi za binti...

KASHESHE: Zuchu ‘ajishtaki’

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI wa lebo ya WCB Zuhura Othman almaarufu Zuchu kamtaka mumewe asiwe na matarajio makubwa sana juu yake hasa...

KIKOLEZO: Vita vya MCSK, KECOBO vyafikia patamu

NA SINDA MATIKO MALUMBANO kati ya shirika la Music Copyright Society Of Kenya (MCSK) na Bodi ya Hakimiliki nchini - Kenya Copyright...

NGUVU ZA HOJA: Walimu wa lugha ya Kiswahili waandaliwe vyema kwa ajili ya Mtaala wa Kiumilisi (CBC)

NA PROF JOHN KOBIA WANAFUNZI wa gredi ya saba wanatarajiwa kuanza masomo yao ya sekondari ya awali Jumatatu wiki ijayo. Hawa ni...