NA HENRY MOKUA KILA mara jambo jipya huzua uchangamfu unaofungamana na wasiwasi wa namna fulani. Anayelitazamia huvutiwa na wazo...
NA PROF JOHN KOBIA HIVI majuzi nilisoma tangazo la kozi mbalimbali zinazotolewa na Chuo cha Mafunzo ya Utabibu cha Kenya (Kenya Medical...
MZEE Makutwa na Mzee Machuka ni mahirimu waliosuhubiana tangu utotoni. Kabla ya kustaafu, walikuwa watumishi wa umma. Mzee Makutwa alikuwa...
Na CHRIS ADUNGO KISWAHILI ni miongoni mwa lugha kuu za Kiafrika zinazozungumzwa na idadi kubwa zaidi ya watu duniani. Sensa ya Canada ya...
JUMA hili tuangalie mtiririko wa matukio katika Sehemu I, Onyesho III. Hapa ni nyumbani kwa Sara, jikoni. Mandhari huonyesha mahali. Dina...
NA PETER CHANGTOEK SASHA Seraphine Mbote alijiuzulu kutoka kwa kazi aliyokuwa akifanya kama meneja wa ‘Spa’ na kuanzisha kampuni yake...
NA RICHARD MAOSI KUPUNGUA kwa ardhi inayotumika kuendesha kilimo ni mojawapo ya changamoto ambazo zimekuwa zikiwakumba wakulima wa...
NA PAULINE ONGAJI VIONGOZI wa kimataifa na wataalam wa masuala ya mabadiliko ya tabianchi walipokusanyika kwenye kongamano la 2022 la...
NA SAMMY WAWERU MWEZI uliopita, Januari na huu wa Februari, kiangazi na ukame vyote vimeonyesha makali yake huku zaidi ya kaunti 20...
NA PAULINE ONGAJI KWA kila Wakenya watatu wanaobainishwa kuugua kansa, wawili kati yao hufariki, idadi inayowakilisha takriban asilimia...
Na CHRIS ADUNGO MWALIMU bora ni rafiki wa wanafunzi wote anaowafundisha. Kutokana na ukaribu wao, wanafunzi huwa radhi kabisa kumweleza...
NA ENOCK NYARIKI GIZA la kaniki lilitanda kote katika shule ya wavulana ya Jitahidi. Sauti pekee zilizosikika japo kwa aliyepita nje ya...