• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 3:46 PM

UJAUZITO NA UZAZI: Uvimbe ndani ya pua ya mtoto

NA PAULINE ONGAJI SHIDA ya uvimbe kujitokeza katika sehemu ya ndani ya pua la mtoto husababishia wazazi wengi wasiwasi. Hali hii...

HUKU USWAHILINI: Kuna jibaba huku limeshindwa kumdekeza mke inavyotakikana

NA SIZARINA HAMISI WANAWAKE wanaoishi Uswahilini, huwa wanavumilia mengi kwenye ndoa zao. Kwamba wapo wanaoishi na waume zao kama...

JUNGU KUU: Vita vya Uhuru na Ruto kufaidi Raila

NA CHARLES WASONGA VITA vipya vilivyochipuza kati ya Rais William Ruto na mtangulizi wake Uhuru Kenyatta huenda vikamfaidi kiongozi wa...

Ruto anavyomfufua Uhuru kisiasa

NA WANDERI KAMAU HATUA ya serikali ya Rais William Ruto kumpunguzia walinzi Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta na baadhi ya waliokuwa mawaziri...

MALEZI KIDIJITALI: Likizo ya dijitali hutuliza watoto

URAIBU wa dijitali umelemea baadhi ya watoto na wataalamu wa malezi wanasema ni kawaida enzi hizi za vifaa bebe. Hata hivyo, wanasema hii...

MAPISHI KIKWETU: Kaimati za mboga

NA PAULINE ONGAJI Viungo unavyohitaji Unga wa ngano, kilo – ½ Maji au maziwa, lita – ½ Sukari, gramu – 200 Siagi,...

WALIOBOBEA: Haji: Afisa wa utawala na mwanasiasa nguli

KWA HISANI YA KENYA YEARBOOK MOHAMMED Yusuf Haji alikuwa mmoja wa wakuu wa mikoa chini ya utawala wa chama cha KANU hadi 1997,...

KIGODA CHA PWANI: Uamuzi wa mahakama utaunganisha viongozi wa Kaunti ya Kwale

NA PHILIP MUYANGA BAADA ya Mahakama Kuu kuthibitisha kuchaguliwa kwa Bi Fatuma Achani kama gavana wa Kwale maoni tofauti tofauti...

PENZI LA KIJANJA: Valentino yabisha hodi huku mapenzi yakiyumba

NA BENSON MATHEKA NI mwezi wa mapenzi na zimebaki siku tisa kuadhimisha Valentine’s Day, yaani siku ya wapendanao na baadhi ya watu -...

JUKWAA WAZI: Uhuru, Methu waelekezeana mishale kuhusu suala la kulipa ushuru

NA WANDERI KAMAU KULIPA ushuru ni kujitegemea. Ndiyo kauli ya Halmashauri ya Kukusanya Ushuru Kenya (KRA). Hata hivyo, swali linaloibuka...

MIKIMBIO YA SIASA: Kujiuzulu Mwakwere kuumiza Wiper Pwani

NA CHARLES WASONGA USHAWISHI wa chama cha Wiper unatarajiwa kushuka katika eneo Pwani kufuatia kujiuzulu kwa mwenyekiti wake wa kitaifa...

MALENGA WA WIKI: Nyakundi ni mshairi na mhariri wa riwaya, tamthilia

NA HASSAN MUCHAI DUKE Nyagwoi Nyakundi almaarufu mwalimu Nyakundi alizaliwa mwaka wa 1994 eneo la Ogembo, katika Kaunti ya Kisii. Ni...