• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 5:44 PM

KASHESHE: ‘Nameless alinichanua’

NA SINDA MATIKO MAUREEN Kunga amefichua namna Nameless alivyomshauri baada ya kutapeliwa na produsa aliyekuwa akimfanyia kazi nguli...

DOMO: Mtu asiniambie kuhusu mapenzi

NA MWANAMIPASHO NDIO maana kila siku ya maisha yangu, huwa siyachukulii mapenzi kwa uzito. Sipendi kitu cha kunichanganya. Na kama...

KASHESHE: Bien atetea ‘wivu’ wa mkewe

NA SINDA MATIKO BIEN-Aime Baraza kamkingia mke wake dansa Chiki Kuruka kuhusiana na kisanga cha wikendi iliyopita. Staa huyo alikuwa...

NGUVU ZA HOJA: Lugha ya Kiswahili ina uwezo wa kuimarisha umajumui wa mataifa ya bara zima la Afrika

NA PROF CLARA MOMANYI KARNE chache zilizopita, Kiswahili kilichukuliwa kama lugha ya watu wa chini kijamii. Kilichukuliwa kama lugha...

Usokotaji manyoya wapiga jeki kina mama wa Kibra

NA LABAAN SHABAAN KIKUNDI cha kina mama kwa jina Ayani eneobunge la Kibra, Kaunti ya Nairobi kimedumu zaidi ya miongo mitatu tangu...

TUJIFUNZE UFUGAJI: Weka sheria kudhibiti wanaoingia kwenye makao ya kuku wako

NA SAMMY WAWERU KENCHIC ni mojawapo ya kampuni kubwa katika uzalishaji wa kuku nchini na ina mipango miwili kuhakikisha wateja wake...

UFUGAJI: Afurahia ufugaji kuku wa mayai licha ya visiki vingi

NA SAMMY WAWERU PRISCA Njeri amekuwa katika biashara ya ufugaji wa kuku wa mayai kwa zaidi ya miaka saba. Aliingilia ufugaji bila...

Jinsi alivyoanzisha kituo cha michezo kuzuia watoto kuwa waraibu wa simu, vifaabebe

NA MAGDALENE WANJA KATIKA maisha ya sasa, watoto wengi wanatumia muda mwingi kwenye vifaa kama vile simu na tarakilishi ambapo wao...

JIJUE DADA: Kinachosababisha maumivu ya tumbo wakati wa hedhi

NA PAULINE ONGAJI MAUMIVU ya tumbo wakati wa hedhi husababishwa na kutanuka na kunywea kwa njia ya uzazi ili kuondoa damu kwenye kuta...

MUME KIGONGO: Wanaume wanene hatarini kuathiriwa na maradhi zaidi kushinda wanawake

NA CECIL ODONGO WANAUME wanene wanahangaishwa na maradhi zaidi kuliko wanawake, Utafiti umebaini. Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha York...

SHINA LA UHAI: Kisonono chaweza sababisha utasa na athari nyingine

NA WANGU KANURI WIKI jana Wakenya walikabiliwa na hali ya mfadhaiko na wasiwasi baada ya kuripotiwa kwa mkurupuko wa ugonjwa wa kisonono...

MWALIMU WA WIKI: Gikundi mwalimu tajiri wa hamasa

NA CHRIS ADUNGO MWALIMU mwenye wito wa kufundisha na mapenzi ya dhati kwa taaluma yake, ana jukumu zito la kuchochea wanafunzi wake...