• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

LISHE: Fahamu umuhimu wa kiamsha kinywa

NA MARGARET MAINA [email protected] KIAMSHA kinywa mara nyingi huitwa 'mlo muhimu zaidi wa siku'.  Licha ya manufaa ya...

MAPISHI KIKWETU: Supu ya kabichi tamu na chachu

NA MARGARET MAINA [email protected] SUPU ya kabichi tamu na chachu huwa nzuri ikiwa utaipikia kwa jiko la polepole. Changanya...

MIZANI YA HOJA: Ukitaka kufanikiwa maishani shirikiana na watu wa mawazo na malengo sawa na yako

NA WALLAH BIN WALLAH MAISHA ya mwanadamu ni kama maji ya mto ambayo daima yanafuata mkondo na kuteremka kwenye mabonde kuelekea baharini...

Zinki na faida zake mwilini

NA MARGARET MAINA [email protected] ZINKI hupatikana katika vyakula mbalimbali vitokanavyo na mimea na wanyama. Ina jukumu...

AFYA: Fahamu jinsi unavyoweza kuzuia lehemu mbaya

NA MARGARET MAINA [email protected] ILI kupunguza viwango vyako vya lehemu mbaya, fuata mtindo wa ulaji unaozingatia afya...

Faida za kiafya zipatikanazo ukinywa chai ya mnanaa

NA MARGARET MAINA [email protected] CHAI ya mnanaa au peppermint kwa kawaida huwa tamu na haina kafeni. Inahusishwa na manufaa...

MAPISHI KIKWETU: Andaa githeri na uweke bizari na masala ya garam

NA MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 10 Muda wa mapishi: Dakika 30 Walaji: 2 Vinavyohitajika ...

Jinsi ya kushughulikia tatizo la chunusi za homoni

NA MARGARET MAINA [email protected] CHUNUSI za homoni zinahusisha milipuko inayohusiana na kushuka kwa thamani kwa homoni...

SHINA LA UHAI: Fahamu chakula unachofaa kula baada ya mazoezi

NA MARGARET MAINA [email protected] WAKATI wa kupanga namna ya kufanikisha mazoezi, kuna mengi ambayo unafaa kuyazingatia endapo...

UBUNIFU: Ageuza taka kuwa mbolea

NA PETER CHANGTOEK TAKA huleta karaha mno, hususan zinapotapakaa na kusambaa kila mahali. Hata hivyo, kwa Joyce Waithira, taka...

UJASIRIAMALI: Hajaacha kufyatua matofali hata baada ya kupata kazi ya Kamishna Msaidizi

NA PETER CHANGTOEK DAWIN Orina amekuwa akitengeneza matofali kwa muda wa mwongo mmoja na nusu sasa. Yeye ni Kamishna Msaidizi wa...

Ufugaji mbwa wa ulinzi wamlipa tangu aache kazi ya matatu

NA SAMMY WAWERU KIJIJI cha Mugoya, kilomita tano kutoka mji wa Embu, Akilimali inakutana na Martin Gathungu akihudumia mbwa...