• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 7:50 AM

JUNGU KUU: Dau la Azimio laelekea kuzama

NA CHARLES WASONGA UKOSEFU wa uongozi thabiti ndani na nje ya bunge ndio chimbuko la misukosuko inayotishia kusambaratisha muungano wa...

Tamaa itakayosukuma Ruto kubadili katiba

NA WANDERI KAMAU IMEIBUKA kuwa dalili za mrengo wa Kenya Kwanza kupanga mageuzi ya Katiba ili kumwezesha Rais William Ruto kuendelea...

SHANGAZI SIZARINA: Mbona kila ninayemtongoza anikataa?

Mbona kila ninayemtongoza anikataa? Kusema ukweli nahisi kama nimelaaniwa, kwani kila ninapotongoza huwa nakataliwa. Nifanyeje kwani...

HUKU USWAHILINI: Kwetu kuna wajuba magwiji wa kuwageuza akina dada walezi wao

NA SIZARINA HAMISI HUKU tunakoishi kuna katabia kameshamiri hasa kwa baadhi ya wanaume. Kwamba baadhi ya watu huanzisha uhusiano kwa...

TUSIJE TUKASAHAU: Aden Duale asije akasahau haki ya marehemu Agnes Wanjiru

MNAMO Novemba 2, 2021 aliyekuwa Waziri wa Ulinzi Eugene Wamalwa alitoa hakikisho kwamba Serikali ya Uingereza imekubali kushirikiana na...

MAPISHI KIKWETU: Bajia za bizari nyembamba na sosi ya ukwaju

NA MARGARET MAINA [email protected] Muda wa kuandaa: Dakika 20 Muda wa mapishi: Dakika 20 Walaji: 2 Vinavohitajika ...

Jinsi ya kuondoa chunusi

NA MARGARET MAINA [email protected] JE, ni nani hapendi ngozi yenye afya na inayong'aa? Ngozi yenye kung'aa sio tu inakufanya...

KIPWANI: Asema ‘views’ si hoja, bora muziki mzuri

NA SINDA MATIKO MWANADADA Laurriete Rota sio tu mwanamuziki anayetokea Pwani na hususan Mombasa, lakini pia yeye ni...

KIKOLEZO: Azidi kuchafua hewa Twitter

NA SINDA MATIKO TAJIRI nambari moja duniani Elon Musk ameendelea kuchafua hewa pale Twitter baada ya kukamilisha ununuzi wa App hiyo kwa...

KASHESHE: Amwaga povu zito

NA SINDA MATIKO ALIKIBA anasema sababu moja inayofanya muziki wa Afrika Mashariki kukwama na kushindwa kwenda mbali ni...

NGUVU ZA HOJA: Je, Waswahili wanafaa kufunzwa na kutahiniwa lugha ya Kiswahili?

NA PROF IRIBE MWANGI JUZI nilikuwa napiga gumzo na shangazi yangu mmoja aliyewahi kutembea pwani. Alinieleza kwamba kuna rafiki yake...

MIZANI YA HOJA: Ni muhimu kuwa na malengo ya kukuelekeza na kukuhamasisha ili kufaulu katika mtihani wako

NA WALLAH BIN WALLAH AGHALABU kila mtu anaposoma shuleni au chuoni dhamira yake kuu huwa ni kujifunza aelimike na ajiandae kufaulu...