• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 6:50 AM

ZARAA: Siri yake ni bidii shambani na kusaka wateja mitandaoni

NA SAMMY WAWERU HELLEN Wanjiku ni mkulima hodari mwenye maono ya kujikuza zaidi kwa kuzamia shughuli hizo za shambani. Baada ya kufuzu...

PAUKWA: Ndovu kabomoa nyumba, majirani wamsaka Tundu

NA ENOCK NYARIKI TUNDU alipoona maisha yake yamo hatarini, alichupa kupitia dirishani na kujichoma kwenye migomba. Bahati yake ni...

MWALIMU WA WIKI: Ng’etich zaidi ya ualimu ni kocha

NA CHRIS ADUNGO MWALIMU bora anastahili kuwa kielelezo chema kwa wanafunzi wake. Awahimize mara kwa mara katika safari ya elimu na...

KIGODA CHA PWANI: Wapigakura watarajia makuu kwa wawakilishi wao wa kike

NA MWANDISHI WETU JE, wabunge wa kaunti wanaowakilisha kina mama katika ukanda wa Pwani wana mipangilio gani kwa wananchi waliowachagua...

JUKWAA WAZI: Junet, Ichung’wa wakabana koo kuhusu ‘umahsusi’ wa Linturi wizarani

NA WANDERI KAMAU BILA shaka, ni hitaji la msingi kwa waziri kufahamu majukumu anayofaa kutekekeza katika wizara aliyoteuliwa...

JUNGU KUU: Mzozo mpya Meru mtihani kwa Ruto

NA WANDERI KAMAU MASAIBU yanayomkumba Gavana Kawira Mwangaza wa Meru, yamefungua ukurasa mpya kuhusu mivutano ambayo imekuwepo kati ya...

DARUBINI YA WIKI: Toleo Nambari 08, Oktoba 23, 2022

DARUBINI YA WIKI Toleo Nambari 08 | Oktoba 23, 2022 Vita vya Kenya DRC KAULI YA MHARIRI: DRC thabiti ni nzuri kwa eneo letu ...

HUKU USWAHILINI: Bwana, huwa tunajichosha huku sherehe hadi za talaka!

NA SIZARINA HAMISI WATU huku Uswahilini tumechoka. Tumechoka na shughuli ambazo hazina tija na zinatuletea jakamoyo na wakati...

MALEZI KIDIJITALI: Teknolojia inajenga na kuumbua familia vilevile

TEKNOLOJIA inatawala kila sehemu ya maisha katika karne hii na wazazi wasiokubali au kujiandaa wanaweza kuathiri malezi ya watoto wao na...

BAHARI YA MAPENZI: Mume, mke hawawezi ‘urafiki wa kawaida’

SIZARINA HAMISI Na BENSON MATHEKA KWAMBA wanandoa wanaweza kuwa huru kwenda kuvinjari na marafiki zao wa jinsia tofauti wakiwa peke yao ni...

PENZI LA KIJANJA: Inauma kukataliwa lakini heri kujiondoa

NA BENSON MATHEKA NI miaka mitatu sasa na Franco anasema japo Mary hajamkubali ataendelea kumrushia mistari hadi atapoingia...

DOMO: Huku kuanika tumbo kwasinya

NA MWANAMIPASHO KUNA wimbo wa zilizopendwa niliosikiliza juzi, ukanikuna akili. Sijui jina la wimbo ila najua wasanii walotunga...