• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

KIGODA CHA PWANI: Maendeleo Pwani yanahitaji umoja wa viongozi wa huko

NA PHILIP MUYANGA WAKATI wa kuchaguliwa kwa spika wa bunge la seneti, baadhi ya wabunge wa Pwani wa muungano wa Azimio la Umoja One...

MIKIMBIO YA SIASA: Faida na zigo la KK kama wengi bungeni

NA CHARLES WASONGA KUTAWAZWA kwa mrengo wa Kenya Kwanza (KKA) kuwa mrengo wa walio wengi katika bunge la kitaifa sasa kutamwezesha Rais...

JUNGU KUU: Ruto atakavyopanga ‘wazee’ Uhuru, Raila

NA BENSON MATHEKA RAIS William Ruto anapanga kuhakikisha kuwa mtangulizi wake Uhuru Kenyatta na mshirika wake katika Azimio la Umoja One...

WALIOBOBEA: Karume: Mhimili, rafiki wa dhati wa Mwai Kibaki

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK NJENGA Karume na Mwai Kibaki walikuwa marafiki wa dhati. Lakini jinsi Karume aliyeacha masomo akiwa darasa...

SOKOMOKO WIKI HII: Mbunge wa Mumias Mashariki PK Salasya aona mizungu ya Kizungu bungeni

NA CHARLES WASONGA KWA mara nyingine mbunge mmoja aliboronga Kiingereza bungeni wiki hii na kupelekea wenzake na Wakenya mitandaoni...

UJAUZITO NA UZAZI: Kukabili uvujaji damu baada ya kujifungua

NA PAULINE ONGAJI ... Imeendelea Ishara Kutokwa na majimaji mekundu kutoka ukeni kwa zaidi ya siku saba baada ya kujifungua ...

MAPISHI KIKWETU: Biriani ya Uyoga

NA PAULINE ONGAJI Viungo Uyoga kilo – 1 Mchele wa basmati, kilo – 1 Masala, vijiko via chai – 4 Kitunguu saumu...

MALEZI KIDIJITALI: Kuepushia mtoto wako kutekwa na ponografia

UKITAKA mtoto wako asitekwe na kupotoshwa na ponografia kwenye mtandao ni lazima uwe na ujasiri wa kumweleza wazi hatari za picha na video...

BAHARI YA MAPENZI: Uhusiano ukidorora, hisia nazo huyoyoma

SIZARINA HAMISI Na BENSON MATHEKA IWAPO umeishi na mwanamke ama mwanaume kwa muda mrefu, bila shaka unaelewa ile hali ya kupoteza mvuto...

PENZI LA KIJANJA: Usiwekeze hisia bila uhakika wa nia ya mpenzio

NA BENSON MATHEKA “SONGA mbele na maisha yako. Warembo hawajazaliwa bado, huyo hakuwa wako.” Huu ulikuwa ushauri wa George kwa...

DARUBINI YA WIKI: TOLEO NAMBARI 6, Oktoba 09, 2022

Kashfa iliyoponza Telkom MHARIRI: Mzaha kuhusu uvamizi kando, tulinde uhusiano kwa kutii sheria za kimataifa Kurunzi ya Kenya:...

VYAMA: Chama cha Uanahabari katika shule ya upili ya Mbirikene, Meru

NA CHRIS ADUNGO CHAMA cha Uanahabari katika shule ya upili ya Mbirikene iliyoko Imenti Kaskazini, Kaunti ya Meru, kinashughulikia...