NA CHRIS ADUNGO MATAMANIO ya Ryan Mwenda, 14, ni kutikisa ulingo wa filamu kimataifa kiasi cha kufikia kiwango cha staa wa Amerika,...
NA CHRIS ADUNGO CHAMA cha Kiswahili katika shule ya msingi ya Kinderworld Academy iliyoko South C jijini Nairobi, hushughulikia mahitaji...
NA PROF JOHN KOBIA KATIBA ya Kenya ya 2010 katika ibara ya 7 sehemu ya 3 inaweka wazi kuwa lugha rasmi za Jamhuri ya Kenya ni Kiswahili na...
NA RICHARD MAOSI ZOEZI la kukamua asali kutoka kwenye masega yaani honey combs huchukua sehemu muhimu katika shughuli nzima ya kilimo...
NA LABAAN SHABAAN JULIUS Waweru, mtaalamu wa kilimo, ni mkulima wa miche ya miti eneo la Kenol, Kaunti ya Murang’a na huuza miche 20,...
NA JOHN NJOROGE BAADA ya kutembea hatua chache kutoka kwa barabara kuu ya Molo kwenda Njoro karibu na mji wa Elburgon katika Kaunti ya...
NA CHRIS ADUNGO MWALIMU ana nafasi kubwa katika kuchochea hamu ya wanafunzi wake kupenda masomo na kufaulu katika safari nzima ya...
KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK MOSES Akaranga, mtaalamu wa Benki aliyebadilika kuwa kasisi, anakumbukwa kwa kuanzisha kandarasi za kazi...
NA CHARLES WASONGA WIKI hii Naibu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) Juliana Cherera aliwapa Wakenya zoezi gumu la...
NA HENRY MOKUA NI kawaida mwanafunzi kutamani kufanikiwa sawa na wanataaluma mbalimbali anaowaona katika ujirani wake. Ni kawaida pia...
NA ENOCK NYARIKI KAULI ‘uchumi umepanda’ aghalabu hutumiwa na baadhi ya watu kwa maana finyu ya kupanda kwa bei za bidhaa hivyo basi...
NA MARGARET MAINA [email protected] MUFFINS za karoti zisizo na mayai ni rahisi kutengeneza. Kwa kawaida huwa ni laini na...