• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 6:50 AM

Trekta ndogo kivutio cha vijana kushiriki kilimo 

NA SAMMY WAWERU MATUMIZI ya mitambo, mashine na teknolojia za kisasa yanatajwa kama mojawapo ya mbinu kuboresha shughuli za...

Magwiji kuzalisha maharagwe ya jadi

NA SAMMY WAWERU  LIKIWA na miaka mitano tangu lianzishwe, kundi la Neema Farmers Community Garden linajivunia kuwa na mchango mkubwa...

Punda wa Lamu wapumzika kiasi mwezi wa Ramadhani

NA KALUME KAZUNGU WAISLAMU wakiendelea na kufunga na kutekeleza ibada katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, shughuli za kazi za kawaida...

Mama anayejituma kufufua kilimo cha mimea asilia

NA SAMMY WAWERU JEPHLINE Ojwang’ ni mkulima wa mimea asilia katika Kaunti ya Migori, shughuli za zaraa anazojivunia...

Mashindano ya mbwa yanoga eneo la Diani

NA SIAGO CECE ILIKUWA ni shamrashamra katika maonyesho na mashindano ya mbwa Diani huku mamia ya wakazi na mbwa wao wakijitokeza kwa...

Vita dhidi ya pombe vyageuka ujenzi wa mnara wa Babeli

NA MWANGI MUIRURI VITA vinavyoendeshwa Mlima Kenya dhidi ya pombe ya mauti, mihadarati na utundu wa wamiliki wa baa vimegeuka sawa na...

Picha za Lamu usiku zamdondosha mate mke wa afisa wa Unesco

NA KALUME KAZUNGU UFICHUZI wa Afisa Mshauri wa Utamaduni wa Ukanda wa Afrika Mashariki katika Shirika la Umoja wa Mataifa Kuhusu Elimu,...

‘Kanuni za ushemeji’ anazofaa kuzingatia mwanamke anapoolewa

NA WANDERI KAMAU JE, ni kanuni zipi ambazo mwanamke aliyeolewa anafaa kuzingatia ili kuhakikisha ana uhusiano mzuri na mashemeji...

Maoni mseto kuhusu mbinu ya ukandaji kutumia taulo ya moto

NA FRIDAH OKACHI TIBA ya kukanda mwili imekuwepo kwa muda mrefu sana, asili yake ikihusishwa na mataifa kama vile India, China, Japan na...

Mhadhara wa umma kuandaliwa kumuenzi Prof Ken Walibora

NA WANDERI KAMAU WAKEREKETWA wa Kiswahili nchini wanapanga kuandaa mhadhara wa kwanza wa umma kumuenzi marehemu Prof Ken Walibora,...

Jamila Mohamed amuenzi ‘Beloved’ Kipenzi Rita Tinina

NA JAMILA MOHAMED KWA wengi waliomfahamu Rita, T9, RT, Yiapan, Maasai kama alivyotambulika na wenzake, maneno yanayoelezea kumhusu ni...

Tanzania yapiga hatua ndege zikitengenezewa nchini humo

THE CITIZEN Na WANDERI KAMAU TANZANIA imepiga hatua mpya katika sekta ya uchukuzi wa ndege, kufuatia kutengenezwa kwa ndege tatu mpya...