• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 4:10 PM

TALANTA: Mwanamitindo chipukizi

NA RICHARD MAOSI NYOTA ya binti mdogo Quinn Anna Njoki kutoka Kaunti ya Nakuru inaendelea kung’aa. Yeye ni mmojawapo ya washiriki...

DINI: Tusemezane kwani hakuna yasiyotatulika

NA PADRE FAUSTINE KAMUGISHA LISEME, usikae nalo. Hakuna yasiyotatulika. Hakuna yasiyo na suluhisho. Elewa upande wa...

IEBC: Kilio cha Raila kinampa Ruto maksi

NA LEONARD ONYANGO MALALAMISHI ya mwaniaji wa urais wa Azimio la Umoja, Bw Raila Odinga dhidi ya Tume ya Uchaguzi (IEBC) huenda yakampa...

HUKU USWAHILINI: Si ajabu mwanamume kutoroka kwake, kisa vituko vya mamkwe

NA SIZARINA HAMISI KAMA ilivyo kwa wenzetu huko Uzunguni, huku kwetu Uswahilini pia tunakutana na changamoto za ndugu kutaka kujazana...

BAHARI YA MAPENZI: Ni sawa mkeo kustarehe na marafiki?

SIZARINA HAMISI Na BENSON MATHEKA UBORA wa uhusiano wa kimapenzi unahusiana na jinsi wapenzi ama wanandoa wanavyowasiliana wakiwa...

KIGODA CHA PWANI: Madai ya ‘mradi wa Joho’ yamtia doa Abdulswamad

NA PHILIP MUYANGA JE uhusiano wa karibu wa kisiasa ambao mbuge wa Mvita Abdulswamad Shariff Nassir anao na Gavana Ali Hassan Joho...

WALIOBOBEA: Mudavadi ‘alilelewa’ na Moi ‘akafufuliwa’ na Raila

KWA HISANI YA KENYA YEAR BOOK WYCLIFFE Musalia Mudavadi alikuwa sehemu ya serikali ya kwanza ya muungano nchini Kenya, ambayo...

MITAMBO: Mashine ya kisasa inayosaga nyasi za mifugo na kuchanganya na nafaka kwa pamoja

NA SAMMY WAWERU BEI ya chakula cha mifugo cha madukani ingali ghali, licha ya serikali kutangaza mikakati kuishusha. Mikakati hiyo...

DOMO: Msikizeni shangazi, ana neno!

NA MWANAMIPASHO HAHA! Eti ‘That Shawry for Viagra’, mnasema kafanyaje tena? Nilipomwona shangazi yenu akitrendi kule Twitter juzi...

KIKOLEZO: Walirejea baada ya kustaafu!

NA SINDA MATIKO JUZI Cristiano Ronaldo katangaza anauza ndege yake ya kibinafsi kwa sababu imekuwa ndogo kutokana na familia yake...

KIPWANI: Eti katulia ila umkutapo studio, ni balaa!

NA SINDA MATIKO SIJUI kama unamjua Sai Kenya. Nitakwambia baadhi ya watu maarufu wanaomfahamu. Yupo Marioo yule Mtanzania mwenye hiti...

MAWAIDHA YA KIISLAMU: Tusikae kitako na kuanza kulalamika baadaye

NA ALI HASSAN KWA jina la Mwenyezi Mungu mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na neema ndogo ndogo. Tumejaaliwa leo hii, siku hii...