• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 6:50 AM

Matapeli wanavyotumia watoto na walemavu kuvuna pesa

NA BENSON MATHEKA MIJI mikubwa nchini imegeuka kuwa makao ya watu wanaotumia hila na ujanja kupata pesa kwa kuombaomba wakijifanya wana...

Anavyopiga jeki kina mama kuendeleza ufugaji kuku    

NA SAMMY WAWERU DKT Teresia Wairimu amezuru mataifa tofauti ndani na nje ya Bara Afrika lengo likiwa kuona yanavyofanya ufugaji hususan...

Baraza la Agikuyu lakataa polisi kwa mikutano yake

NA MWANGI MUIRURI  BARAZA la jamii ya Agikuyu sasa limepuuzilia mbali wito wa kulitaka liwe likiomba ruhusa kutekeleza hafla zake za...

Jamii ya Wakore hatarini kumezwa kabisa na makabila mengine

NA KALUME KAZUNGU JAMII ya wachache ya Wakore ndio inayotambulika kuanzisha kijiji cha Koreni kilichoko eneobunge la Lamu...

Vijana wa kiume watekwa na mashugamami

NA BENSON MATHEKA IMEFICHUKA kwamba vijana wa kiume hujisalimisha kwa wawindaji wa mahaba kutokana na tamaa, umaskini na hali ngumu...

Msako wa Pombe: Wahudumu wa teksi walia kukosa wateja usiku

NA FRIDAH OKACHI WAHUDUMU wa teksi jijini Nairobi sasa wametoa malalamishi kwamba operesheni kali ya serikali kudhibiti biashara ya...

Je, Joho atarejesha nyota ya Pwani katika siasa za kitaifa?

NA WANDERI KAMAU TANGAZO la kiongozi wa Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga, kwamba atawaachia uongozi wa chama hicho magavana...

Pasta asema tendo la ndoa ndio ‘mambo yote’

NA WANDERI KAMAU KWA kawaida, mapasta na wahubiri huwa wanatarajiwa kuhubiri mafundisho ya kukuza Imani za kiroho za washirika wao, kazi...

Jaji Grace Nzioka: Ninatoa hukumu bila uoga wowote

NA WANDERI KAMAU JAJI Grace Nzioka wa Mahakama Kuu amesema kwamba huwa hahofii maisha yake, licha ya maamuzi ambayo amekuwa akifanya...

Kukosa meneja sababu yangu kuanguka jukwaani – Stivo Simple Boy

NA FRIDAH OKACHI RAPA Stephen Otieno almaarufu Stivo Simple Boy, amesema kuondoka kwa meneja wake ndio sababu ya yeye kuanguka wakati...

Baa za ngome ya Gachagua zapata idhini ya mahakama kuhudumu

NA MWANGI MUIRURI MUUNGANO wa wamiliki wa baa katika eneobunge la Mathira atokako Naibu Rais Rigathi Gachagua, umepata afueni mahakama...

Khadija Bakari: Mshonaji vikapu na mikeka anayetia wageni hamu ya kubakia Lamu

NA KALUME KAZUNGU BI Khadija Bakari ni mama aliyejizolea sifa kochokocho ndani na nje ya kisiwa cha Matondoni, Kaunti ya Lamu kutokana na...