• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 6:50 AM

Jinsi nyama ya kasa inavyotayarishwa kuepuka vifo kama vilivyotokea Zanzibar

NA KALUME KAZUNGU WENYEJI wa visiwa mbalimbali vya Lamu wameeleza jinsi nyama ya kasa inavyotayarishwa ili kumuepusha mja na sumu au...

Wahudumu baa waishi maisha ya juu kuliko mishahara yao

NA MWANGI MUIRURI HALI ambapo wahudumu wa baa hasa wale wa kike hupata mshahara wa kiwango cha chini lakini wanaonekana wakiishi maisha...

Muigai wa Njoroge: Mwanamuziki anayesifika kwa nyimbo za ‘kuilainisha jamii’

NA WANDERI KAMAU JINA la mwanamuziki Muigai wa Njoroge si jipya miongoni mwa Wakenya, hasa wakazi wa ukanda wa Mlima Kenya. Ni msanii...

Korti yampa Nyashinski siku 14 kuwasilisha mkataba wa dili tamu ya Tecno

NA SINDA MATIKO MAHAKAMA ya Milimani, Nairobi imempa mburudishaji Nyamari 'Nyashinski' Ongegu makataa ya siku 14 kuwasilisha mkataba wa...

Mamake Diamond amfosi kuoa

NA SINDA MATIKO MPANGO wa mamake Diamond kumwoza mke mwanawe huyo staa wa muziki umetibuka. Esna Khan, dadake staa wa Bongo Flava...

Fahamu mbinu rahisi ya kutambua kama kaa ni jike au dume

NA KALUME KAZUNGU VYAKULA vya baharini, mitoni na katika maziwa mara nyingi vinaaminika kuwa na faida kuliko vile vipatikanavyo nchi...

Monda roho mkononi Seneti ikianza kumjadili

NA CHARLES WASONGA MASENETA wameanza mchakato wa kuamua hatima ya Naibu Gavana wa Kisii Robert Monda. Kikao hicho ambacho kimeanza...

Waapa kuacha pombe baada ya kupofuka ulevini

LUCAS BARASA NA GEORGE MUNENE BAADHI ya watu walionusurika kufa baada ya kunywa pombe katika Kaunti ya Kirinyaga, sasa wanasimulia masaibu...

Vijana wageuza Ziwa Kenyatta kuwa Sodoma na Gomora

NA KALUME KAZUNGU ZIWA Kenyatta linapatikana eneo la Mpeketoni, kaunti ya Lamu. Ziwa hili ndilo kubwa zaidi na ambalo lina maji yasiyo...

Muziki mtamu unahitaji msanii aliyeenda shule – Span One

NA BENSON MATHEKA MWANAMUZIKI Lamaz Mbago Omollo almaarufu Span One amesema lengo lake katika tasnia ya muziki ni kuondoa fikra na dhana...

Alikiba afungua kituo cha redio na televisheni

NA WANDERI KAMAU BAADA ya kuwa kwenye tasnia ya burudani kwa miongo miwili, mwanamuziki Alikiba kutoka Tanzania ameamua kufuata nyayo za...

Kenya yashauriwa kujiondoa katika mpango wa kurejesha amani Haiti

NA CHARLES WASONGA MASWALI yameanza kuibuliwa kuhusu hatima ya mpango wa Kenya kuwapeleka polisi 1,000 nchini Haiti kurejesha amani...