• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

Safu yote ya Seneti kusikiliza kesi dhidi ya Dkt Monda

NA CHARLES WASONGA VIKAO vya kusikiliza kesi dhidi ya Naibu Gavana wa Kisii Robert Monda aliyetimuliwa na madiwani,...

Barua kuzima wanafunzi Mlima Kenya kumlaki Rais yazua gumzo

NA MWANGI MUIRURI MTINDO wa wanasiasa na wasimamizi wa taasisi kama makanisa na shule kufungia msafara wa Rais aliye mamlakani nchini...

Yalikuwa makosa kuunganisha polisi wa utawala na wa kawaida – Wadadisi

NA MWANGI MUIRURI WADADISI wa masuala ya usalama sasa wanaungama kwamba hatua ya Septemba 13, 2018, ya kuunganisha polisi wa utawala...

Mcheshi Muthee Kiengei sasa kutawazwa kuwa Askofu

NA WANDERI KAMAU NI dhahiri sasa kuwa Pasta Ben Gathungu almaarufu 'Muthee Kiengei' atatawazwa kuwa Askofu. Kulingana na tangazo...

Chama cha ushirika kinavyotafutia wafugaji soko la maziwa

NA SAMMY WAWERU    IKIWA kuna manufaa ambayo wafugaji wa ng’ombe wa maziwa katika Kaunti Ndogo ya Kieni Magharibi, Nyeri,...

Mchekeshaji Dkt Cassypool adai ni chawa wa Rais

NA JURGEN NAMBEKA MCHEKESHAJI mwenye sifa na ufuasi mkubwa mtandaoni, Dkt Cassypool, amewarai vijana kutoka ukanda wa Pwani na Kenya kwa...

Wenyeji Lamu wakataa mitaa ya kwao kuitwa majina ya kigeni

NA KALUME KAZUNGU KUWEPO kwa miji na mitaa ya kisiwa cha Lamu ambayo majina yake ni ya kigeni sasa kunapingwa vikali na...

Del Monte yasajili G4S kulinda mananasi kwa mazingira ya kuheshimu haki za binadamu

NA MWANGI MUIRURI HUKU ikiandamwa na shutuma kali kwamba walinzi wake huwaua majirani wanaoshukiwa kuiba mananasi yake, kampuni ya Del...

Betty Kyallo afichua kuliendaje na Stivo Simple Boy

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA na mwanahabari Betty Mutei Kyallo amefunguka kuhusu mkutano wake wa hivi majuzi na rapa Stephen Otieno...

Mjue mbunge wa Maragua Mary wa Maua anayepigiwa upatu kuwania ugavana Murang’a

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Mary wa Maua ameonekana akicheza siasa zinazojenga taswira ya mwanasiasa anayepanga mikakati na...

Vita vya ubabe wa siasa Mlima Kenya vyaendelea chini

NA MWANGI MUIRURI Japo vita vya ubabe wa kisiasa Mlima Kenya vinaonekana kutulia, vinaendelea chini kwa chini wanaosakata ngoma...

Tambua ugonjwa wa ‘appendicitis’ unaonyemelea watu kimya kimya

NA WANGU KANURI KAREN Nyambura anakumbuka kuwa mnamo mwezi wa Septemba mwaka wa 2008, alianza kuhisi uchungu mwingi upande wa kulia chini...