• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 9:35 PM

OKA yafufuka kuipa nguvu Azimio – Kalonzo

NA CHARLES WASONGA UFUFUZI wa muungano wa One Kenya Alliance (OKA) ulioshirikiana na muungano wa Azimio la Umoja kuunda Azimio la...

Kufunga baa ‘kiholela’ kunawafungia wachuuzi na wasanii riziki, adai Kioni

NA MWANGI MUIRURI MRENGO wa Azimio La Umoja-One Kenya eneo la Mlima Kenya sasa umeitaka serikali ya Rais William Ruto ielewe kwamba...

Kang’ethe kuendelea kuzuiliwa hadi Machi 13

NA RICHARD MUNGUTI MHANDISI wa ndege nchini Marekani Kevin Kang’ethe anayetakiwa nchini Marekani kushtakiwa kwa mauaji ya mpenziwe,...

Muriu, Njuguna na Wasary waongoza ukaidi dhidi ya ushuru wa mavuno Murang’a

NA MWANGI MUIRURI KUPENDA ushuru kwa serikali ya William Ruto kwa sasa kumeelekezwa katika sekta ya kilimo ambapo analenga kuwa akipata...

Tanzania yaongoza Afrika Mashariki kwa idadi kubwa ya watu walio na HIV, ripoti yaonyesha

NA WANDERI KAMAU TANZANIA ndilo taifa linaloongoza katika ukanda wa Afrika Mashariki kwa kuwa na idadi kubwa ya watu walio na virusi vya...

Jinsi ahadi hewa za wanasiasa na mwingilio wa makateli umeweka wakulima katika utumwa usioisha

NA MWANGI MUIRURI MTINDO wa viongozi na watunga sera nchini kupenda siasa, magendo na rushwa umeibuka kuwa kizingiti kikubwa zaidi...

Mike Rua: Mimi ndiye ‘Big Daddy’ wa Mugithi wengine wakijiita wafalme

NA MWANGI MUIRURI MTINDO wake wa kupiga gitaa ni wa kipekee na wasanii wengi huwa wamekubaliana kwamba Mike Rua ni mwalimu wa kuheshimiwa...

Kiti balozi kinachofundisha ubunifu, kupigana na taka za plastiki

NA KALUME KAZUNGU KAUNTI ya Lamu imekuwa ikigonga vichwa vya habari Kenya na ulimwengu mzima kupitia ubunifu mbalimbali. Miongoni mwa...

Sababu ya wengi katika sekta ya kilimo kuomba bei ya petroli izidi kupanda

NA MWANGI MUIRURI BEI hasi ya bidhaa za petroli imezua mwamko mpya wa ubunifu katika kilimo cha unyunyiziaji mimea maji ambapo wakulima...

DOMOKAYA: Hivi kweli haya mapenzi yana maana gani haswa? Binadamu hapendeki!

NA MWANAMIPASHO Duh! Hivi wanazengo hebu soogeni karibu niwaulize jambo. Hivi kweli haya mapenzi yana maana? Maana mimi binafsi sioni....

Manusura wa shambulio la Al-Shabaab aapa kuhubiri amani hadi kifo

NA KALUME KAZUNGU TUKIO la kigaidi la mwaka 2014 mjini Mpeketoni, Kaunti ya Lamu liliacha makovu mabaya kwenye maisha ya wengi eneo...

Jinsi tumbiri wanavyofanya uharibifu shambani, kuiba pombe

NA MWANGI MUIRURI IKIWA kuna mnyama ambaye amesumbua wakulima wa Murang’a kwa muda sasa, ni tumbiri. Tumbiri wamezidisha utukutu...