• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 4:55 PM

Kisanga mwanamume akiachiwa mtoto mchanga wa siku nne na mpenziwe

NA FRIDAH OKACHI MALEZI kutoka kwa vijana wa Gen Z yamechangamsha hisia katika mtandao wa TikTok baada Davis Andanje kupakia video...

Jeneza la kilo 65, sawa na uzito wa Kiptum alipokuwa hai

LABAAN SHABAAN, SAMMY WAWERU NA FRIDAH OKACHI NYOTA wa marathon Kelvin Kiptum alipumzishwa akilazwa ndani ya jeneza la kahawia....

Mwanajeshi Mwingereza ajitetea akisema alipigwa Kiswahili akajikuta ameoa mke wa pili bila kukusudia

WANDERI KAMAU NA MASHIRIKA HARUSI ya Kiislamu iliyofanyika miaka miwili iliyopita, imeanza kumsumbua mwanajeshi kutoka Uingereza...

Mfahamu Benny Hinn, mwinjilisti anayeongoza maombi nchini Jumamosi na Jumapili

NA WANDERI KAMAU LICHA ya umaarufu wake mkubwa kote duniani, mwinjilisti Benny Hinn kutoka Amerika ana baadhi ya sifa ambazo zimezua utata...

Kupitishwa kwa ripoti ya Nadco kwatoa nafasi ya marekebisho ya Katiba

NA CHARLES WASONGA MCHAKATO wa marekebisho ya Katiba kwa lengo la kubadili mfumo wa uongozi wa Kenya kupitia kubuniwa kwa afisi ya...

Fahamu sababu za upole wa punda wa Lamu

NA KALUME KAZUNGU KAUNTI ya Lamu inavuma kwa kuwa na idadi kubwa ya mnyama punda. Punda ndio ambao tangu jadi wamekuwa wakitumika kwa...

Kibaoni: Eneo lililokuwa la vibandiko kuelekeza wasafiri lilivyogeuka mji

NA KALUME KAZUNGU KIBAONI ni mmojawapo wa miji tajika katika Kaunti ya Lamu. Mji huo ni maarufu kutokana na kwamba barabara kuu ya...

Nadia Mukami adai MCSK inamkausha pesa za mrabaha kwa muziki wake

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa mtindo wa Africapopster Nadia Mukami amejitokeza kulaumu Chama cha Hakimiliki za Muziki Nchini...

Unesco mbioni kutambua Mwazindika, ngoma ya jadi Taita Taveta

NA LUCY MKANYIKA JUHUDI zinaendelezwa ili ngoma ya kitamaduni ya jadi Taita Taveta inayojulikana kama Mwazindika itambuliwe na kulindwa...

Teknolojia mpya ya PEM yatoa vipimo vya uhakika zaidi kwa kansa

NA PAULINE ONGAJI WANASAYANSI wamegundua mbinu mpya ya kutambua kansa ya matiti huku ikipunguza uwezekano wa matokeo ya kupotosha. Kwa...

PK Salasya na DJ Pierra Makena wamezeana mate ‘kufanya biashara’

NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Mumias Mashariki Peter Salasya na DJ Pierra Makena wanamezeana mate kiujanja, kila mmoja akitafuta fursa ya...

NDIVYO SIVYO: Neno ‘hakuna’ lisitumiwe badala ya kikanushi ‘si’

SEHEMU YA KWANZA Na ENOCK NYARIKI AGHALABU niliwasikia baadhi ya watu hasa wazee wakitumia neno ‘hapana’ kuwaasa wengine dhidi ya...