NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa mtindo wa Africapopster Nadia Mukami amejitokeza kulaumu Chama cha Hakimiliki za Muziki Nchini...
NA LUCY MKANYIKA JUHUDI zinaendelezwa ili ngoma ya kitamaduni ya jadi Taita Taveta inayojulikana kama Mwazindika itambuliwe na kulindwa...
NA PAULINE ONGAJI WANASAYANSI wamegundua mbinu mpya ya kutambua kansa ya matiti huku ikipunguza uwezekano wa matokeo ya kupotosha. Kwa...
NA FRIDAH OKACHI MBUNGE wa Mumias Mashariki Peter Salasya na DJ Pierra Makena wanamezeana mate kiujanja, kila mmoja akitafuta fursa ya...
SEHEMU YA KWANZA Na ENOCK NYARIKI AGHALABU niliwasikia baadhi ya watu hasa wazee wakitumia neno ‘hapana’ kuwaasa wengine dhidi ya...
NA FRIDAH OKACHI BINTI wa Rais William Ruto, Charlene Ruto, amezindua shindano la ubunifu kwa kushirikisha vijana walio na ujuzi wa...
NA LABAAN SHABAAN MTAA wa Kibera umekuwa ukitambulika kwa sifa mbaya ya ‘urushaji’ wa choo ovyoovyo, hali iliyofanya wengi kuuita...
NA KALUME KAZUNGU MSWAHILI asili yake ni Pwani. Huyu ni mja aliyefungamana na tamaduni za kipwani ambazo sanasana ni Uislamu na tamaduni...
NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Caroline Muthoni Ngethe almaarufu Carrol Sonie amezungumzia jinsi alivyokabiliana na msongo wa mawazo...
NA LABAAN SHABAAN JUA kali limekuwa likishuhudiwa sehemu tofauti nchini kiasi cha kufanya watu kuogopa kutoka nje ila wanalazimika tu...
NA KALUME KAZUNGU UKIWA mvuvi halisi kwenye baadhi ya maeneo ya mwambao wa Pwani, hasa Lamu, itakujuzu kuzingatia kikamilifu baadhi ya...
NA WANGU KANURI MTU mzima mmoja kati ya wanne bado hulala taa zikiwa wazi huku wengine wakikimbia kunapokuwa na giza, utafiti...