• Nairobi
  • Last Updated May 19th, 2024 10:50 AM

Kinachosababisha uvimbe kwenye sehemu za siri za akina dada

NA PAULINE ONGAJI Kama mwanamke, kuna uwezekano wa wakati mmoja kukumbwa na uvimbe unaojitokeza kila mara kwenye sehemu za siri. Ni jambo...

Wakenya watakuwa wakisifu na kutukana nani ili wachaguliwe 2027 Raila akienda AU?

NA MWANGI MUIRURI IKIWA kuna kitu kimewachanganya wanasiasa wa Kenya katika harakati za Raila Odinga kuwania kiti cha mwenyekiti wa tume...

Presha Gachagua aunge mkono Raila kuwa mwenyekiti wa AU

NA MWANGI MUIRURI SHINIKIZO zimezidi kumwandama Naibu wa Rais Rigathi Gachagua aunge mkono hadharani azima ya Raila Odinga kuteuliwa...

Charlene Ruto: Nataka mume atakayenisaidia kuhudumia vijana

FRIDAH OKACHI na MWANGI MUIRURI BINTIYE Rais William Ruto, Charlene Ruto ametangaza kwamba anatamani sana kupata mume atakayemsaidia...

Kijana anayeuguza majeraha baada ya kuvizia mke wa polisi 

NA MWANGI MUIRURI  POLISI katika Kaunti ya Embu wanachunguza kisa cha mnamo Jumapili, Februari 25, 2024 asubuhi ambapo mwanamume wa miaka...

Tanzia: Dunia yamwomboleza mwanamuziki Peter Morgan

NA WANDERI KAMAU DUNIA inaendelea kumwomboleza mwanamuziki-kiongozi wa kundi la Morgan Heritage kutoka Jamaica, Peter Morgan. Kundi...

Askofu Yohanna akiri ni mfuasi wa Arsenal na atazidi kutoa waumini wake mapepo  

NA MWANGI MUIRURI NI wiki moja sasa tangu mkanda wa video kuhusu askofu matata Danson Gichuhi, akijulikana vyema kama Yohanna ujitokeze...

Wachuuzi matapeli wanaouza samaki waliooza barabarani   

NA RICHARD MAOSI WASAFIRI wameomba serikali kupiga msasa wauzaji wa samaki, ikifichuka kuwa baadhi ya matapeli wanatumia fursa hiyo...

Vijana wanaounda mapambo kwa kutumia mifupa 

NA FRIDAH OKACHI NYAMA ni kitoweo chenye mashabiki wengi nchini, na inaposhabikiwa wengi hutupa mifupa. Wengine, huipa wanyama wa...

Simulizi ya mwanahabari aliyehudumu mochari na kuchuuza kondomu 

NA MWANGI MUIRURI ILI kutimiza ndoto yake ya kuwa mwanahabari, Mike Githuki, 39, alipitia njia ndefu iliyompitishia biashara ya magendo,...

Landilodi atumbukia kwenye choo alichopuuza malalamishi ya wapangaji

NA MWANGI MUIRURI  MWANAMKE wa miaka 60 ambaye ni mmiliki wa nyumba ya kukodisha katika Kaunti ya Kirinyaga alinusuriwa kifo baada ya...

Transfoma ya polo nusra ing’olewe na mbwa akijisaidia kwenye shamba usiku

NA MWANGI MUIRURI  JOMBI mmoja katika Kaunti ya Nyeri anauguza majeraha ya sehemu za nyeti baada ya kuvamiwa na mbwa akijisaidia haja...