• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Serikali ya Lamu yaelimisha wageni maana ya ‘itabidi mzoee’

NA KALUME KAZUNGU SERIKALI ya Kaunti ya Lamu imefaulisha juhudi za kupeana na kubandika majina ya sehemu mbalimbali za mji wa kale wa...

Mabibi waingiwa na wasiwasi waume wakienda kunyolewa

NA WANDERI KAMAU KWA kawaida, huwa haimchukui mtu muda mrefu kunyolewa katika duka la kinyozi. Ikizingatiwa kuwa huwa kuna wateja wengi...

Kundi la ufundi wa chumbani lashangaza wanaume

NA MWANGI MUIRURI KULIZUKA kizaazaa katika ukumbi mmoja mjini Nyeri wakati wanaume kadhaa waliuvamia wakilaani hatua ya shirika moja...

Willy Pozee arejea kanisani baada ya miaka saba!

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI Wilson Abubakar Radido almaarufu Willy Paul au Willy Pozee, amefichua kwamba kwa miaka saba hajakuwa...

Mbona magari ya miraa yasiwekwe majokofu kupunguza ajali?

NA WANDERI KAMAU KWA watu wengi katika barabara kuu ya kutoka Meru kuelekea Nairobi, magari ya kubebea miraa si taswira geni...

Mbunge wa Maragua kuendea maji ya wakazi Ikulu

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Maragua Mary Wamaua ametisha kwamba atalazimika kuongoza maandamano ya wapigakura wake hadi Ikulu ya Nairobi...

Mfumo kubaini mbegu halali, vita dhidi ya matapeli vikiendelea 

VITALIS KIMUTAI na SAMMY WAWERU  WAFANYABIASHARA wanne wamekamatwa kwa madai ya kuuza mbegu bandia kwa wakulima Kaunti ya...

Mwanahisabati aliyegeuka mwandishi wa vitabu

NA WANDERI KAMAU JE, unaweza kuiacha taaluma yako uliyoisomea na kujitosa kwenye taaluma jipya usiojua itakakokupeleka? Kwa barobaro...

Kawira Mwangaza alivyochuuza nyanya 2013 baada ya kukosa kiti cha ubunge

NA MWANGI MUIRURI GAVANA wa Meru Kawira Mwangaza anasema kuwa alipoamua kujitosa katika ulingo wa kisiasa mwaka wa  2013 akiwa na umri wa...

Mashoga wataka watengewe wadi maalum hospitalini wakiugua  

NA MWANGI MUIRURI  MASHOGA wa Murang'a wameomba serikali ya Kaunti iwatengee wadi maalum za kulazwa wakiponesha majeraha na pia wawekwe...

Arati na Osoro watumiwa kamishna mpya kupambana na vurugu zao

NA MWANGI MUIRURI KAUNTI za Kisii na Murang’a ambazo katika siku za hivi majuzi zimekumbwa na misukosuko ya kisiasa zimefanyiwa...

Jinsi ajali ilivyosababisha vifo vya marafiki wa tangu utotoni

NA WYCLIFFE NYABERI FAMILIA za wasichana wawili walioaga dunia katika ajali ya barabarani, Januari 26, 2024, katika eneo la Daraja Moja,...