• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:55 PM

AFCON: Marasta barani Afrika watamani fainali iwe baina ya Senegal na Cameroon

Na MWANGI MUIRURI Marasta duniani wanajulikana kwa kupendana na kuweka amani licha ya kudhaniwa kuwa na mapenzi na bangi. Rasta mmoja...

Pasta Ng’ang’a akataa kualikwa kwa harambee za kuchangisha karo

NA FRIDAH OKACHI JAMES Maina Ng’ang’a almaarufu Pasta Ng’ang’a wa kanisa la Neno Evangelism Centre, amewakashifu wazazi...

Eti pesa ngapi? Dai wazee waliweka bei ya kumwoa Betty Maina kuwa Sh300 milioni

NA MWANGI MUIRURI HIVI majuzi, mbunge Mwakilishi wa Kike wa Kaunti ya Murang’a Betty Maina alilipiwa mahari na mbunge wa Mathira Eric...

Polisi wa Kisii wawapa mahabusu sherehe ya chang’aa ndani ya seli

NA MWANGI MUIRURI MAAFISA wawili wa polisi katika kaunti ya Kisii wako katika hatari ya kufutwa kazi baada ya kuandalia mahabusu sherehe...

MC Jessy adai Gen Z wafurika DM kuomba penzi lake kiujanja

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Jasper Muthomi almaarufu MC Jessy amesimulia jinsi alivyokubali majina anayopata kutoka kwa kizazi cha...

Njeeri akiri kuachana na Muigai wa Njoroge

NA WANDERI KAMAU MKEWE mwanamuziki wa nyimbo za Injili na kuishauri jamii mwenye ufuasi mkubwa eneo la Mlima Kenya John Muigai Nyururu...

Mahangaiko Murang’a huduma za picha za MRI na CT scan zikisambaratika

NA MWANGI MUIRURI WENYEJI na wakazi wa Murang’a wanaosaka huduma za picha za MRI na CT scan katika hospitali za eneo hilo...

DOMOKAYA: Katika ndoa za maceleb, nyuma ya pazia kuna vijimambo kama ndoa zingine tu

NA MWANAMIPASHO WANGWANA walishatuambia miaka ile, “lisemwalo lipo na kama halipo basi lipo njiani laja”. Mwaka jana nipo kijiweni,...

Filamu ya Bobi Wine yapata uteuzi Oscars

NA WANDERI KAMAU FILAMU iliyotayarishwa na mwanasiasa Robert Kyagulanyi almaarufu 'Bobi Wine' ambaye pia ni staa mkubwa wa muziki nchini...

Mr Seed akomoana na mkewe mtandaoni kwa kusema ‘mwanamume ni wa wanawake wengi’

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa nyimbo za Injili Moses Tarus Omondi almaarufu 'Mr Seed' ameomba msamaha kwa mkewe Nimo baada ya...

Wezi watumia machozi kutekeleza uporaji mazishini

NA WANDERI KAMAU KUMEZUKA mtindo mpya miongoni mwa waporaji, ambapo sasa wamekuwa wakitumia hafla za mazishi kuwapora watu. Ijapokuwa kwa...

Mrembo wa kusaka mamilioni kwa mahindi aona dalili za ndoa 2027

NA MWANGI MUIRURI MWANAMKE aliyeapa kwamba ataolewa tu baada ya kuwa milionea katika kilimo cha mahindi, sasa anasema fatalaiza ya...