• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Mrembo wa kusaka mamilioni kwa mahindi aona dalili za ndoa 2027

NA MWANGI MUIRURI MWANAMKE aliyeapa kwamba ataolewa tu baada ya kuwa milionea katika kilimo cha mahindi, sasa anasema fatalaiza ya...

Wanandoa maarufu na mastaa Pascal Tokodi na Grace Ekirapa waachana

RAJAB ZAWADI NA FRIDAH OKACHI MIEZI kadhaa baada ya ndoa ya Philip Karanja maarufu kama Director Phil, na mwigizaji Kate Actress...

NGUVU ZA HOJA: Tafsiri na ukalimani zijumuishwe katika mtaala wa shule za upili

NA PROFESA JOHN KOBIA UTEKELEZAJI wa mtaala wa Umilisi katika mfumo wa elimu unaendelea ingawa kuna changamoto nyingi. Wanafunzi wa...

Wanafunzi 25 waliokosa KCPE kujiunga na shule za upili

NA GEORGE ODIWUOR WANAFUNZI 25 waliokosa kufanya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Nane (KCPE 2023) katika eneobunge la Homa Bay...

Wenyeji mjini Kenol kuchanga Sh200,000 kuburudisha polisi

NA MWANGI MUIRURI RAIA katika eneobunge la Maragua wanaolalamika kulemewa na gharama ya maisha kiasi cha kuhangaika kupata chakula na...

Jinsi YouTube inavyoendelea kuokoa vijana kujitengenezea mkwanja na kubadilisha maisha yao

NA WANDERI KAMAU KUTOKANA na kiwango kikubwa cha ukosefu wa ajira nchini na duniani kote, vijana wengi wamekuwa wakitafuta njia mbadala...

Namna ya kuepuka ugonjwa wa macho mekundu

ALEX KALAMA Na HASSAN WANZALA VISA vya ugonjwa wa macho mekundu almaarufu red eyes vimeripotiwa kwa wingi katika eneo la ukanda wa Pwani...

Eric Omondi kufanya mazungumzo na Jackie Maribe kujiondolea lawama ya ‘deadbeat’

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Eric Omondi amebainisha wazi kuwa anataka kujiondolea lawama ya ‘deadbeat’, jina linalotumiwa...

Saratani adimu iliyokatiza maisha ya mwekezaji mashuhuri Lizzie Wanyoike

Na MWANGI MUIRURI SARATANI ambayo mnamo Januari 14, 2024 ilimuua mwekezaji mashuhuri Lizzie Muthoni Wanyoike huwa adimu kwa wanawake kwa...

Karen Nyamu ajitetea baada ya Samidoh kufuata mkewe na watoto Amerika

NA FRIDAH OKACHI SIKU ya Ijumaa, Seneta Karen Nyamu alijipata pabaya baada ya shabiki mmoja mtandaoni kushinikiza kujua alipo...

Mwanamume asimulia jinsi kuoa mapema kumemzimia nyota ya masomo, kazi nzuri

NA FRIDAH OKACHI KATIKA kijiji cha Daraja Mbili, kilomita 20 kutoka mji wa Kisumu, shughuli za kuvuna mchanga na kilimo hutumika kuwa...

Mwanamke alivyopatwa amefia kwenye tanki la maji ‘alilopanda kuliosha’

SOPHIA WANJIRU NA LABAAN SHABAAN WAKAZI wa eneo la Kiruga katika Kaunti Ndogo ya Othaya, Nyeri walimtafuta mwenzao Sarah Wairuri kwa...