• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Kinachosababisha chunusi sehemu inayozingira uke

NA PAULINE ONGAJI Wakati mmoja maishani, huenda kila mwanamke akakumbwa na tatizo la chunusi katika sehemu inayozingira uke. Ni suala...

Wanaume wenye matiti makubwa wamo katika hatari ya kufariki mapema

NA CECIL ODONGO WANAUME ambao wana matiti ambayo yametanuka (gynecomastia), wapo katika hatari ya kufa kabla ya kufika umri wa miaka 75,...

Tetesi kachumbari ya mayai chemsha na soseji mitaani inaundwa kwa nyanya zilizooza 

NA SAMMY WAWERU JE, wewe ni shabiki wa soseji, kebab au mayai chemsha yanayochuuzwa mitaani na kuongezwa ladha kwa kutumia...

Kanani ya Viazi’ inavyotishiwa na mabadiliko ya hali ya hewa

NA WANDERI KAMAU KWA wengi, viazi huwa ni vyakula vitamu sana. Viazi hutumika kupikia aina nyingi ya vyakula, kama vile vibanzi (yaani...

Jinsi wanawake Mlima Kenya wanahadaa vijana kwa pombe wawatunge mimba  

NA MWANGI MUIRURI  WANAUME kutoka eneo la Kati mwa Kenya wanalalamikia mbegu zao za uume kuvunwa na wanawake pasi maafikiano.  Wametoa...

Vivukio vya barabara vilivyogeuka maficho ya wahalifu

NA RICHARD MAOSI WAPITANJIA kwa miguu katika barabara kuu ya Thika – Nairobi, almaarufu Thika Super Highway wameomba kuwekewa mataa ya...

Mkulima alivyovamiwa na nyani Murang’a

NA MWANGI MUIRURI  MKULIMA wa kiume katika Kaunti ya Murang'a anauguza majeraha baada ya kuvamiwa na genge la tumbili alipokuwa akihepa...

Kalameni alivyopoteza jogoo watatu akibashiri ushindi wa Tanzania AFCON  

NA MWANGI MUIRURI  KALAMENI kutoka Nyeri anajuta kwa kubashiri ushindi wa timu ya kandanda ya Tanzania katika dimba la Timu Bora Barani...

Oga Obinna ataka jamii kuwaonea huruma wanaume wanaochapwa kwenye ndoa

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Steve Thompson Maghana almaarufu Oga Obinna ameshauri Wakenya kukoma kuwacheka wanaumme wanaopigwa na wake...

Chimbuko la mtaa wa Manguo ambapo wakazi huishi na viboko

NA WANDERI KAMAU KWA lugha ya Kikikuyu, kiboko huwa anaitwa ‘nguo’. Kwa mtaa wa Manguo, ulio viungani mwa mji wa Nyahururu,...

Safari ya barobaro singo aliyeanza ufugaji na kuku 3, sasa anamiliki maelfu 

NA SAMMY WAWERU KELVIN Kilonzo, ni mjasirimali ambaye amegundua kuna furaha na ufanisi katika ufugaji wa kuku.  Ni ari aliyoanza...

Wito wanafunzi wa vyuo vikuu wasitengwe na serikali, wafadhili

NA ALEX KALAMA WADAU katika sekta ya elimu kaunti ya Kilifi, wameitaka serikali na mashirika ya kijamii kutenga na kuelekeza fedha zaidi...