• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 5:55 AM

Viongozi wapamba mikutano ya basari kwa burudani wakiishia kuwapa wanufaika Sh3,000

NA MWANGI MUIRURI VISA vya wanasiasa kutumia pesa nyingi kurembesha mikutano ya kusambaza basari halafu kuishia kuwagawia watoto...

Embarambamba aomba ‘Style Mpya’

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Chris Embarambamba, ameendelea kuzua utata, mara hii, akitoa wimbo 'Style Mpya’ ambapo anaomba staili au...

Kinaya cha elimu ‘msawazishaji’ kupalilia umaskini

NA MWANGI MUIRURI NI msimu mwingine wa wazazi kuwapeleka watoto wao shuleni. Huu ni msimu ambao umegeuka kuwa kiini cha mahangaiko...

Ngaruiya Junior alivyorukwa Kipetero na UDA

NA MWANGI MUIRURI IMEIBUKA sasa kuwa msanii Ngaruiya Junior aliyejiunga na kampeni za United Democratic Alliance (UDA) katika siasa za...

Lizzie Wanyoike alivyowindwa na vijana kijijini kama swara

NA MWANGI MUIRURI LIZZIE Wanyoike aliyeaga dunia Januari 14, 2024 alizaliwa katika kijiji cha Gathukiini, Kaunti ya Murang’a mwaka wa...

Nduma zenye sumu zinavyotua kwenye sahani

NA SAMMY WAWERU UNAPOSHABIKIA kipande cha viazivikuu maarufu kama nduma, umeshawahi kujiuliza kilikokuziwa? Hii ni hoja muhimu kabla ya...

Maana halisi ya ‘AirBnBs’ na kwa nini jina hilo limejikuta katika utata wa mauaji

NA WANDERI KAMAU KWA wengi, huenda neno ‘AirBnB’ likawa geni. Ni mfumo mpya wa kibiashara, ambapo wamiliki wa nyumba huwa...

Ubora wa mbegu za kiume hushushwa na hewa chafu

NA CECIL ODONGO Kupumua hewa chafu kunasababisha mwanaume kuwa gumba, watafiti wamebaini. Watafiti kutoka Uingereza waliafikia hilo...

Tulimalizana na Raila kiungwana, hatukufika mahakamani – Sauti Sol

Na SINDA MATIKO KAMA utakuwa unakumbuka, Mei 2022 taifa likiwa linakaribia Uchaguzi Mkuu, bendi ya Sauti Sol iliiba vichwa vya habari...

Lizzie Wanyoike alivyonusurika kifo 1960

NA MWANGI MUIRURI HUKU taifa likimwomboleza mwekezaji Lizzie Muthoni Wanyoike aliyeaga dunia Januari 14, 2024 akiwa na miaka 73, sio...

AFCON 2019: Kenya ilivyopepeta Tanzania 3-2

NA MWANGI MUIRURI  MWAKILISHI wa kipekee wa Afrika Mashariki, Tanzania katika dimba la Klabu bora barani Afrika (Afcon) 2023 atashuka...

Salasya alaumu shetani kwa ‘kumpotosha’

NA WANDERI KAMAU MBUNGE Peter Salasya wa Mumias Mshariki sasa amedai kwamba shetani ndiye amekuwa akimwingilia na kumfanya kujihusuisha na...