• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Northern Bypass: Barabara inayozidi kumeza wapitanjia 

NA SAMMY WAWERU NORTHERN Bypass, ni barabara yenye shughuli chungu nzima za usafiri na uchukuzi.  Barabara hiyo ndiyo inaunganisha mtaa...

Tanzia: Mwanzilishi wa NIBS, Lizzie Wanyoike, aaga dunia

NA WANDERI KAMAU MWANZILISHI wa Taasisi ya Mafunzo ya Kiufundi ya Nairobi Institute of Business Studies (NIBS), Bi Lizzie Wanyoike,...

Umaarufu wa Ruto Mlima Kenya taabani Gachagua na Nyoro wakiraruana 

NA MWANGI MUIRURI  MALUMBANO kati ya Naibu wa Rais Rigathi Gachagua na Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro yamechacha huku sasa Rais William...

Eugene Wamalwa: Nitakuwa debeni 2027 kuwania urais

NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa Democratic Action Party of Kenya (DAP-K), Bw Eugene Wamalwa, ametangaza nia yake kuwania urais kwenye...

Majonzi mwanafunzi akizama majini akijipiga selfie

NA MWANGI MUIRURI  FAMILIA ya mwanafunzi wa kidato cha tatu aliyezama Mto Chania akijipiga selfie Januari 10, 2023 imeitaka serikali...

Maina Njenga: Gachagua ajue mimi ndiye kusema Mlima Kenya

NA MWANGI MUIRURI ALIYEKUWA kinara wa kundi haramu la Mungiki Bw Maina Njenga ameshikilia kwamba yeye ndiye kinara wa siasa za Mlima...

Arati afunguka vurugu zilivyozuka

NA SAMMY WAWERU GAVANA wa Kisii, Simba Arati amesimulia jinsi vurugu zilizuka katika hafla aliyokuwa akisambaza basari katika eneobunge...

Sababu za ‘E’ kujaa Pwani

NA WINNIE ATIENO WALIMU wakuu kutoka ukanda wa Pwani wamehusisha matokeo duni kwenye Mtihani wa Kitaifa wa Kidato cha Nne (KCSE) na...

Wenye baa wataja sababu za kuajiri mabaunsa nyamaume

NA RICHARD MAOSI WAMILIKI wa vilabu vya burudani na baa jijini Nairobi wameomba serikali kulegeza kamba ili kuwaruhusu mabaunsa wenye...

Wajakazi wafananisha kuosha nguo za ndani za mabosi na ‘uchawi mamboleo’

NA FRIDAH OKACHI BAADHI ya wajakazi jijini Nairobi wametoa malalamishi kwamba mabosi wao huwafanyia 'uchawi mamboleo' kwa kuwapa mavazi...

Jinsi usasa unavyotutoa ujuzi wa kuwakabili fisi wala watu

NA WANDERI KAMAU WANAVIJIJI sasa wamekosoa taratibu zilizotolewa kwa Wakenya na Shirika la Huduma kwa Wanyamapori Nchini (KWS) kwa wakazi...

PK Salasya: Kwake kila hafla ni shajara ya vitimbi

NA WANDERI KAMAU ALIPOCHAGULIWA kama mbunge na wakazi wa eneobunge la Mumias Mashariki, hilo lilionekana kuwa mwanzo mpya wa kisiasa kwa...