• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 7:50 PM

Hatutaki maneno matupu: Wakulima Nyeri wataka Kenya Kwanza iwape hazina ya mazao waliyowaahidi

NA WANDERI KAMAU WAKULIMA wa kahawa katika Kaunti ya Nyeri sasa wanamtaka Rais William Ruto kutekeleza Mpango wa Kuboresha Bei za Mazao...

Ruto ahama Ikulu ya Nairobi baada ya kuambiwa na wataalam ‘iko hatarini kuporomoka’

NA LABAAN SHABAAN RAIS William Ruto hatakaa katika Ikulu ya Nairobi kwa miezi miwili ijayo sababu ya ukarabati wa jengo hilo...

Wakenya kutazama Tanzania ikihangaika huko AFCON kupitia KBC bila malipo

Na MWANGI MUIRURI WAKENYA waliokuwa wametamauka kuhusu watakakofuatilia taifa la Tanzania likishiriki mitanange ya dimba la Taifa Bora...

Ajuza, 64, mpiga mbizi hodari ambaye hutafutwa kuopoa waliozama majini

Na MERCY KOSKEI AKIWA na umri wa miaka 64, Sally Njeri amekuwa wa msaada mkubwa kwa wakazi wa Rongai, Nakuru na maeneo ya karibu, akiwa...

Ajali: Watu 84 waaga dunia wiki ya kwanza ya mwaka

NA CHARLES WASONGA WATU 84 wamepoteza maisha kupitia ajali za barabarani ndani ya muda wa wiki ya kwanza ya mwaka, kulingana na takwimu...

Mtaalamu atoa vidokezo muhimu kuhusu salamu za ma-ex

NA FRIDAH OKACHI MWANAMUZIKI wa kufokafoka kutoka mtaa wa Kibra Stephen Otieno Adera almaarufu 'Stivo Simple Boy' alikataa kumsalimia...

Eddie Butita: Ukitafuta mapenzi kwa familia ‘high-class’ simu yako inanuswa

NA MWANGI MUIRURI MCHESHI Eddie Butita,31, 'amewawon' wasanii wa kiume dhidi ya kurusha mistari kwa warembo kutoka kwa familia zenye...

Madereva wa malori ya trela wadai huona mizuka barabarani

NA RICHARD MAOSI MADEREVA wa malori ya matrela katika barabara ya Nairobi-Mombasa wamedai kwamba mara kwa mara wao huona mizuka na vitu...

NDIVYO SIVYO: Neno ‘lau’ katu halina maana ya ‘mfano wa’

NA ENOCK NYARIKI AGHALABU, nilikumbana na kauli hii katika insha za wanafunzi nilipokuwa nikifunza shule ya msingi:*Nilikula chakula...

Ndindi Nyoro: Sasa sio mchele na nyama tu, tumeongeza chapati na uji shuleni

NA MWANGI MUIRURI MBUNGE wa Kiharu Bw Ndindi Nyoro amepanua hafla za kula mchele na nyama sasa akiongeza chapati na uji katika shule za...

Mshukiwa wa mauaji ya Starlet Wahu aonyesha utulivu akihojiwa

NA SAMMY KIMATU MAKACHERO wataendelea kumzuilia mshukiwa wa mauaji ya mwanadada Starlet Wahu kwa siku 14 zaidi ili kumaliza uchunguzi...

Sifa zinazomfanya Uhuru kusalia kipenzi cha wengi Mlima Kenya

NA WANDERI KAMAU MIONGONI mwa jamii ya Agikuyu, mtu hakuchaguliwa vivi hivi tu kuwa kiongozi wa jamii. Kulingana na wazee, kulikuwa...