• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 12:18 PM

Jinsi mauaji chakani Shakahola yalivyoshtua ulimwengu

NA FARHIYA HUSSEIN MWAKA 2023, unyama uliokuwa ukifanywa ndani ya wa Shakahola katika Kaunti ya Kilifi, ulifichuliwa ambapo zaidi ya...

Mwanamume auawa kwa mama mkwe

NA MWANGI MUIRURI MWANAMUME mmoja wa umri wa miaka 33 aliuawa usiku wa kuamkia Desemba 29, 2023, kwa kupigwa na majirani wa wakwe zake...

Hatari ndani ya mabwawa ya kuogelea

NA MWANGI MUIRURI MADAKTARI sasa wametoa tahadhari kuhusu mabwawa ya kuogelea ambayo utapata watu wengi wakifurika kupindukia kwa awamu...

Kandanda: Gundi ya mshikamano, silaha dhidi ya mihadarati

NA LABAAN SHABAAN KITUO cha kukuza vijana wenye kipaji cha soka cha Talanta Africa Football Academy (Tafa), kimevutia watoto wa kati...

Justina Syokau afunga mwaka na drama zake

NA WANDERI KAMAU MWANAMUZIKI Justina Syokau almaarufu kama ‘Madam 2020’ anamaliza mwaka 2023 kwa drama zake za kawaida. Ingawa yeye...

Mkesha: DJ Fatxo kutumbuiza mkahawani Aberdare

NA MWANGI MUIRURI WAKAZI wa Kaunti ya Nyeri na majirani wao wamealikwa na DJ Fatxo katika hafla ya mkesha wa kupisha Mwaka Mpya wa 2024...

Sniper: Ripoti ya uchunguzi wa awali yatoka

NA MWANGI MUIRURI BLOGA Daniel Muthiani almaarufu 'Sniper' kutoka Kaunti ya Meru ambaye amezua sokomoko kuu nchini baada ya kudaiwa...

Mwalimu anayedaiwa kuwaua wanawe atiwa mbaroni

NA MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Mombasa mnamo Desemba 27, 2023, wamemtia mbaroni James Gitau Karanja aliyekuwa mafichoni tangu...

Natalie: Niliachwa kwa sababu ya maradhi

NA RAJAB ZAWADI KUACHWA na kuachana kupo, au sio bwana? Ila kuna dizaini nyingine za kuachwa zimwachazo mtu na vidonda vya...

Wetangula asema changamoto za Kenya zinahitaji maombi    

NA SAMMY WAWERU SPIKA wa Bunge la Kitaifa Moses Wetangula amewahimiza Wakenya kuombea viongozi wa Kenya Kwanza, akisema ‘kufufua...

Kioni: Ruto anataka kubadilisha Katiba kupitia mlango wa nyuma 

NA SAMMY WAWERU KWA mara nyingine, Katibu Mkuu chama cha Jubilee (JP), Jeremiah Kioni amemshambulia Rais William Ruto akidai anasakata...

Size 8: ‘Vidonge’ ni kibao kilichonitoa matopeni

NA SINDA MATIKO KILA mtu ana stori yake ya ufanisi na yake mwimbaji mhubiri Size 8, ilitokana na hiti ya 'Vidonge'. Size 8 Reborn...