• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 1:46 PM

Size 8: ‘Vidonge’ ni kibao kilichonitoa matopeni

NA SINDA MATIKO KILA mtu ana stori yake ya ufanisi na yake mwimbaji mhubiri Size 8, ilitokana na hiti ya 'Vidonge'. Size 8 Reborn...

Gachagua: Nina furaha wanawake wengi Mlima Kenya wana mimba    

NA SAMMY WAWERU NAIBU Rais Rigathi Gachagua ameelezea kuridhishwa kwake na oparesheni dhidi ya pombe haramu, mihadarati na dawa za...

Mwanafunzi aliyezoa alama 381 KCPE anavyohangaika kupata karo 

NA CECIL ODONGO “KWA nini niwe na furaha, ilhali sijui iwapo nitakuwa shuleni mnamo Januari. Msaada wangu utatoka wapi?” Hilo ndilo...

Msanii mpishi chapati atangaza 2024 ni mwaka wa kupendana 

NA MWANGI MUIRURI ANAYEKISIWA kuwa mfalme wa ngoma za mapenzi eneo la Mlima Kenya, Wamiruri Mla Chake ametangaza kwamba 2024 itakuwa mwaka...

Mmoja wa waliouawa Buruburu alikuwa mchuuzi wa nguo na viatu

NA MWANGI MUIRURI MMOJA wa vijana wanne waliouawa mtaani Buruburu Phase Five, Nairobi Desemba 24, 2023 kwa kumiminiwa risasi 100...

Mapenzi: Daddy Owen anyakua mali ya Ruto, Charlene

ELIZABETH NGIGI na LABAAN SHABAAN KATIKATI ya shamrashamra za msimu Krismasi 2023, tukio la kupapasa moyo wa mwimbaji wa nyimbo za...

Sudi adai yeye ndiye ‘mpishi’ katika serikali ya Ruto

NA SAMMY WAWERU MBUNGE wa Kapseret, Oscar Sudi amepigia upatu uhusiano wake wa karibu na Rais William Ruto akisema yeye ni mmoja wa...

Del Monte yamulikwa walinzi wake wakihusishwa na mauaji ya kikatili  

NA MWANGI MUIRURI  FAMILIA nne kutoka Kaunti ya Machakos zinaomboleza mauti ya wapendwa wao wenye umri wa ujana wanaokisiwa kupigwa na...

Sherehe: Waru za Nyandarua zaokoa familia nyingi

NA WANDERI KAMAU KAUNTI ya Nyandarua inafahamika kutokana na kilimo chake cha viazi, maarufu kama 'waru' miongoni mwa watumizi...

Wanandoa wanaojitafutia riziki kwa kuchimba vyoo, makaburi

NA OUKO OKUSAH KUTANA na wanandoa wanaoamini kuwa kazi ni kazi bora mtu apate riziki. Kwa muda wa miaka 18 iliyopita Bw Wilson...

Buda Murang’a alivyosherehekea Krismasi kwa bajeti ya Sh100  

NA MWANGI MUIRURI  KRISMASI, ni sherehe inayofanyika kila mwaka kote duniani kuadhimisha siku maalum ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu na...

Ninaenda ‘break’ mashabiki mnisubiri – Akothee

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA na mwanamuziki Esther Akoth almaarufu 'Akothee', alitangaza atachukua mapumziko kwenye mitandao ya...