• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Jamhuri Dei: Ruto kuongoza taifa kuadhimisha miaka 60 ya kujitawala

NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto, Jumanne, Desemba 12, 2023 ataongoza nchi kuadhimisha miaka 60 ya kujitawala. Kenya ilianza...

Serikali ya Sakaja yaachilia mwili wa aliyegongwa akihepa askari wa jiji

NA MWANGI MUIRURI Utawala wa Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja hatimaye umekubali kuachilia mwili wa mchuuzi Anthony Ngugi kwa familia...

Amos Rono sasa atangaza kuvunjilia mbali harusi na Nelly shutuma zikikolea

FRIDAH OKACHI, VITALIS KIMTAI NA CHARLES WASONGA HARUSI iliyokumbwa na utata katika Kaunti ya Bomet kati ya Amos Rono na Nelly Chepkoech...

Wakazi wa Juja wamlilia Wajackoyah awasaidie kukabiliana na kero la fisi wala watu

NA MWANGI MUIRURI WAKAZI wa Juja, Kiambu sasa wanamuomba aliyekuwa mwaniaji wa urais kwa tikiti ya Roots Party, George Luchiri...

Tabia za wizi msimu wa Krismasi zilivyomshushia kifungo cha miaka 23 gerezani

NA MWANGI MUIRURI BW Jimmy Wanjohi anakumbuka jinsi mwaka wa 1999 alizindua njama ya wizi akiwa amejihami kwa bunduki ili apate pesa ya...

Kenya Power yakashifiwa kwa utepetevu stima zikipotea kwa mara ya tatu maeneo mengi nchini

NA SAMMY WAWERU MAENEO mengi ya nchi Jumapili, Desemba 10, 2023 yalikosa nguvu za umeme kwa karibu saa nne mfululizo Wakenya...

Huenda mabwanyenye waliotekwa na Kang’ata ni njama kupangia Ruto mahesabu kuenda nyumbani?

NA MWANGI MUIRURI  HATUA ya Gavana wa Murang'a, Irungu Kang'ata kuteua vigogo waliokuwa makuhani wakuu ndani ya mrengo wa Azimio katika...

Mama anayefanya ukahaba alivyokutana na mwanawe kwenye lojing’i     

NA MWANGI MUIRURI Motel, Kirinyaga  TEKNOLOJIA ya True Caller imemvisha mwanamke mmoja Mjini Thika aibu ya mwaka baada ya kuelekeza...

DCI aliyekataa hongo ya Sh200, 000 na kukamata matapeli 2 wa mashamba  

NA MWANGI MUIRURI WASHUKIWA wawili wa utapeli wa mashamba na ufisadi walipoingiwa na ujasiri wa ajabu na wakaingia katika makao makuu ya...

Vipaji wa soka Murang’a wageuza mashamba kuwa uwanja El Nino ikiwahangaisha

NA MWANGI MUIRURI MVUA ya El Nino ambayo imekuwa ikishuhudiwa hapa nchini imeanika hali duni ya viwanja vya michezo katika Kaunti ya...

MAKALA YA KIPEKEE: Kanisa linalohusishwa na kidosho aliyesitisha ghafla harusi lazungumza   

NA FRIDAH OKACHI  KANISA ambalo msichana alitarajiwa kufunga pingu za maisha na mchumba wake japo akasitisha ghafla harusi limezungumza,...

Krismasi: Vijana wanavyopiga sherehe wakigeuza makazi yao kuwa baa

NA SAMMY WAWERU MSIMU wa Krismasi unapobisha hodi kila mwaka, unajiri na shamra shamra za sherehe. Krismasi, ni hafla ya kimataifa...