NA SAMMY WAWERU RAIS William Ruto, Jumanne, Desemba 12, 2023 ataongoza nchi kuadhimisha miaka 60 ya kujitawala. Kenya ilianza...
NA MWANGI MUIRURI Utawala wa Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja hatimaye umekubali kuachilia mwili wa mchuuzi Anthony Ngugi kwa familia...
FRIDAH OKACHI, VITALIS KIMTAI NA CHARLES WASONGA HARUSI iliyokumbwa na utata katika Kaunti ya Bomet kati ya Amos Rono na Nelly Chepkoech...
NA MWANGI MUIRURI WAKAZI wa Juja, Kiambu sasa wanamuomba aliyekuwa mwaniaji wa urais kwa tikiti ya Roots Party, George Luchiri...
NA MWANGI MUIRURI BW Jimmy Wanjohi anakumbuka jinsi mwaka wa 1999 alizindua njama ya wizi akiwa amejihami kwa bunduki ili apate pesa ya...
NA SAMMY WAWERU MAENEO mengi ya nchi Jumapili, Desemba 10, 2023 yalikosa nguvu za umeme kwa karibu saa nne mfululizo Wakenya...
NA MWANGI MUIRURI HATUA ya Gavana wa Murang'a, Irungu Kang'ata kuteua vigogo waliokuwa makuhani wakuu ndani ya mrengo wa Azimio katika...
NA MWANGI MUIRURI Motel, Kirinyaga TEKNOLOJIA ya True Caller imemvisha mwanamke mmoja Mjini Thika aibu ya mwaka baada ya kuelekeza...
NA MWANGI MUIRURI WASHUKIWA wawili wa utapeli wa mashamba na ufisadi walipoingiwa na ujasiri wa ajabu na wakaingia katika makao makuu ya...
NA MWANGI MUIRURI MVUA ya El Nino ambayo imekuwa ikishuhudiwa hapa nchini imeanika hali duni ya viwanja vya michezo katika Kaunti ya...
NA FRIDAH OKACHI KANISA ambalo msichana alitarajiwa kufunga pingu za maisha na mchumba wake japo akasitisha ghafla harusi limezungumza,...
NA SAMMY WAWERU MSIMU wa Krismasi unapobisha hodi kila mwaka, unajiri na shamra shamra za sherehe. Krismasi, ni hafla ya kimataifa...