• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:50 AM

MAKALA YA KIPEKEE: Kanisa linalohusishwa na kidosho aliyesitisha ghafla harusi lazungumza   

NA FRIDAH OKACHI  KANISA ambalo msichana alitarajiwa kufunga pingu za maisha na mchumba wake japo akasitisha ghafla harusi limezungumza,...

Krismasi: Vijana wanavyopiga sherehe wakigeuza makazi yao kuwa baa

NA SAMMY WAWERU MSIMU wa Krismasi unapobisha hodi kila mwaka, unajiri na shamra shamra za sherehe. Krismasi, ni hafla ya kimataifa...

Taulo za hedhi zilizotumika zazidi kuwa kero mitaa kadha Nairobi  

NA SAMMY WAWERU WAKAZI kutoka mitaa kadhaa Kaunti ya Nairobi wanalalamikia kuendelea kutapakaa kwa taulo za hedhi na nepi za...

Mzozo wa DPP na IPOA kuhusu askari watundu

NA MWANGI MUIRURI NJAMA mpya za kuwakinga maafisa wa polisi watukutu kutoka kwa mashtaka mahakamani imezinduliwa, huku kukitolewa taarifa...

Hayawi hayawi…Jackie Matubia afichua mchumba wake mpya  

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI Jackie Matubia amemtambulisha kwa umma mpenzi wake mpya, siku chache tu baada ya kudokeza kwamba ana nia...

Avokado ni dhahabu shambani mwake  

NA SAMMY WAWERU KIJIJI cha Nyamesocho katika Kaunti ya Kisii ni chenye shughuli chungu nzima, kuanzia kilimo, ufugaji na...

Makahaba wapandisha bei wakilalamikia polisi na Mungiki kuwawekea ushuru

NA MWANGI MUIRURI  MAKAHABA katika mtaa wa Githurai 45, mpakani mwa Kiambu na Nairobi Desemba 6, 2023 walitangaza nyongeza ya bei ya...

‘Wagathanwa’ aendelea kushambulia wakazi licha ya polisi kudai walishamtia mbaroni

NA MWANGI MUIRURI Vyombo vya kiusalama katika Kaunti ya Murang'a vimesutwa kwa kucheza sarakasi na suala la mvamizi ambaye amekuwa...

Afisa asimulia kisa cha kushangaza kuhusu ‘alivyoganda’ na mwanamke ndani ya lojing’i kwa saa 10

NA MWANGI MUIRURI Baada ya afisa wa polisi wa kiwango cha Konstebo kukwama kwa saa 10 akiwa kwenye mchezo wa huba na kahaba mmoja mjini...

Oga Obinna: Namuombea Willy Paul arudi kwa Yesu, muziki wa kidunia haumfai

Na MWANDISHI WETU MWANAHABARI Steve Maghana almaarufu Oga Obinna amemshauri mwanamuziki Willy Paul kurejea katika uimbaji wa nyimbo za...

Aliuza mbuzi wake kupata pesa za Krismasi, lakini jambazi akamvamia usiku, akamwibia na kumuua

NA MWANGI MUIRURI Mwanamume wa miaka 57 kutoka Kaunti ya Murang'a aliyekuwa ameuza mbuzi wake kwa Sh12, 000 za kufadhili sherehe za...

Mapenzi yamewatesa sana mastaa hawa, na hivi ndio wameamua kufanya…

NA SINDA MATIKO "NIMEAMUA kuupumzisha moyo wangu maana siku nyingi unateseka juu yangu. Kutwa kupelekwa puta na akili yangu eti kisa...