• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:50 AM

Rose Muhando akanusha kutapeli kanisa la mwimbaji Mkenya Ali Mukhwana Sh200,000

NA SINDA MATIKO MWANAMUZIKI wa injili Rose Muhando kakanusha kutapeli kanisa la mwimbaji wa injili Ali Mukhwana Sh2o0,000. Siku chache...

Hivi unazijua skendo za ‘Papa Mokonzi’ Koffi Olomide anayepiga shoo kule ASK Jumamosi?

Na THOMAS MATIKO KWA mzee mwenye umri mkubwa wa zaidi ya miaka 60, utakachotarajia kutoka kwake ni wingi wa busara tu. Busara ya...

Barua ya majonzi ya binti kwa Waziri Kindiki akimsaka mamake aliyetoweka Julai mtaani Kiria-ini

NA MWANGI MUIRURI “KWA Waziri wa Usalama wa ndani Prof Kithure Kindiki, Ningetaka kwanza kukupa hongera kwa niaba ya familia yetu...

Kuku wageuka dhahabu Desemba 2023

NA SAMMY WAWERU KILA Desemba, ulimwengu huungana kuadhimisha siku maalum ya kuzaliwa kwa Yesu Kristu inayofanyika tarehe 25. Mwezi wa...

LSK yawinda mawakili 21 bandia

NA MWANGI MUIRURI BARAZA la Mawakili Nchini (LSK) tawi la Murang’a limezindua msako dhidi ya wanaotoa huduma za uwakili bila idhini,...

DJ Saint Kevin: Karen Nyamu anaelewa kupenda  

NA MWANGI MUIRURI  DJ Saint Kevin amemtaja Seneta maalum Karen Nyamu kama mwanamke anayeelewa umuhimu wa kuwa kwenye mahusiano, mlezi...

Andrew Kibe akaangwa na wafuasi wake mitandaoni

NA FRIDAH OKACHI MTANGAZAJI wa zamani na mwanakotenti Andrew Kibe hatimaye ameweka paruwanja kuhusu familia yake, jambo ambalo...

Mikakati ya Gavana Wamatangi kuboresha sekta ya maziwa Kiambu

NA SAMMY WAWERU SERIKALI ya Kaunti ya Kiambu imesambaza vifaa vya uongezaji maziwa thamani kwa vyama vya ushirika vya wafugaji, kama...

Viongozi wataka ‘Simba Wala Watu’ warudishwe nchini

NA LUCY MKANYIKA WAKAZI na viongozi wa Kaunti ya Taita Taveta wametoa wito wa kurejeshwa kwa mabaki ya Man-Eaters of Tsavo, simba...

Wadudu wa ‘Nairobi fly’ wanavyohangaisha Wakenya msimu wa El Nino na kuwaacha na vidonda vibaya

NA WANGU KANURI HUKU mvua kubwa ya El Nino ikipungua, Wakenya hawajaathirika tu na mafuriko au kukosa makazi bali pia kung’atwa na mdudu...

Makali ya njaa Mathare yanavyosukuma mabinti wachanga kwenye vitanda vya majambazi

NA FRIDAH OKACHI Ugumu wa maisha katika mtaa wa Baba Dogo umesukuma wasichana matineja kujipata katika vitanda vya  magenge ya wezi ambao...

Jinsi ya kuandaa mlo bora bila kutumia mafuta

Na PAULINE ONGAJI Kutokana na sababu za kiafya, kuna baadhi ya watu ambao hawatumii chakula kilichopikwa kwa mafuta ya kukaanga. Kutokana...