• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 10:15 PM

Bila shamba la ekari 50 hutamuoa Awinja, waume wanaommezea mate waambiwa

NA FRIDAH OKACHI MWIGIZAJI na mwanakotenti Jacky Vike almaarufu Awinja, ameweka wazi anahitaji mwanamume atakayemuoa ila atahitaji kuona...

‘Nililazimika kuacha shule nikaolewa, nikazaa watoto watatu, nikarejea na bado nimewika KCPE’

NA JOHN NJOROGE Baada ya kuacha shule kwa miaka saba, Bi Olivia Chepngeno hakuweza kuficha furaha yake matokeo ya KCPE 2023 yalipotolewa...

Si kila mwasho ukeni husababishwa na kuambukizwa magonjwa ya zinaa

NA PAULINE ONGAJI WANAWAKE wengi huingiwa na wasiwasi wanapoanza kushuhudia mwasho ukeni siku kadhaa baada ya kushiriki tendo la...

Homoni za kiume huwa chache kwa wanaume wasiolala vya kutosha

NA CECIL ODONGO WANASAYANSI wanashauri kuwa mtu mzima anastahili kulala kwa kati ya muda wa saa saba hadi saa tisa ili kutokuwa na tatizo...

KIRDI: Sekta ya viwanda itaimarika wanafunzi wakipaliliwa mbinu kuongeza bidhaa thamani  

NA LAWRENCE ONGARO WATAFITI katika sekta ya kilimo na viwanda walikongamana katika Chuo Kikuu cha Mount Kenya kwa siku mbili, kutanzua...

Mvinyo wa ‘white wine’ unavyotumiwa kudumisha urembo wa ngozi

NA PAULINE ONGAJI TUNAPOKARIBIA msimu wa sherehe, mojawapo ya aina ya vinywaji ambavyo vinatarajiwa kutumiwa na wengi ni mvinyo...

Jinsi Uhuru anavyolenga kupangua mahesabu ya Ruto

Na CHARLES WASONGA HUENDA Rais Mstaafu Uhuru Kenyatta akaendelea kushawishi siasa za nchini kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027, na kugeuka...

Wakereketwa wa Kiswahili wamuenzi mwenzao Kericho kwa mchango wake katika lugha

NA WANTO WARUI Chama Cha Wakereketwa wa Kiswahili kinachoitwa 'NIENZI NINGALI HAI' hapo jana kilimtembelea mmoja wao katika sehemu za...

Baba wa watoto 16 Mandera ashangaza wengi kwa kujizolea alama 355 katika KCPE

NA MANASE OTSIALO Isack Alio Shamo, 51, baba wa watoto 16 alifanya uamuzi wa kurudi shule baada ya kiangazi kuangamiza mifugo wake na...

Malkia wa Chapati Nandi Hills anayepika unga 12 kwa siku na kujiingizia kibunda cha kuridhisha

NA FRIDAH OKACHI Ukosefu wa ajira ni changamoto miongoni mwa vijana na kusababisha baadhi yao kutegemea wazazi au walezi wao. Vijana...

Kundi la Les Wanyika lakutana Garden Square Jumamosi kujikumbusha walikoanzia miaka 45 iliyopita

NA JOHN ASHIHUNDU Kundi maarufu la muziki wa dansi la Les Wanyika leo Jumamosi linarejea katika ukumbi wa mkahawa wa Garden Square...

Diamond afunguka kuhusu madai ya kupunja wasanii wa Wasafi

NA SINDA MATIKO BAADA ya kumtambulisha msanii mpya, Diamond Platnumz sasa anasema yeye kuwasaini wasanii ni kuwafanyia hisani. Wiki...