• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 8:50 AM

Malkia wa Chapati Nandi Hills anayepika unga 12 kwa siku na kujiingizia kibunda cha kuridhisha

NA FRIDAH OKACHI Ukosefu wa ajira ni changamoto miongoni mwa vijana na kusababisha baadhi yao kutegemea wazazi au walezi wao. Vijana...

Kundi la Les Wanyika lakutana Garden Square Jumamosi kujikumbusha walikoanzia miaka 45 iliyopita

NA JOHN ASHIHUNDU Kundi maarufu la muziki wa dansi la Les Wanyika leo Jumamosi linarejea katika ukumbi wa mkahawa wa Garden Square...

Diamond afunguka kuhusu madai ya kupunja wasanii wa Wasafi

NA SINDA MATIKO BAADA ya kumtambulisha msanii mpya, Diamond Platnumz sasa anasema yeye kuwasaini wasanii ni kuwafanyia hisani. Wiki...

Matineja waliopata mimba za mapema Kanduyi waingia ukahaba na madereva wa malori

NA JESSE CHENGE Eneobunge la Kanduyi ndilo linaloongoza katika Kaunti ya Bungoma kwa mimba za matineja, ambazo zinawalazimisha baadhi...

Wanafunzi wa Kabarak wahofia huenda kifo cha mwenzao mikononi mwa polisi kikafunikwa

NA MERCY KOSKEI Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Kabarak wanalilia haki baada ya mwanafunzi mwenzao kugongwa na gari la polisi alipokua...

Hamiliki nyumba wala shamba Nairobi, lakini anazalisha mboga kwa wingi na kuuzia wakazi

NA FRIDAH OKACHI WATU husema Nairobi ni shamba la mawe, na ili kujimudu kimaisha, ni sharti mtu anoe bongo na kutafuta mbinu za kumwezesha...

Mwanamke asimulia alivyoponyoka na wanawe mauti Shakahola mumewe akisalia ‘kuonana na Yesu’

FARHIYA HUSSEIN NA ALEX KALAMA MWANAMKE mmoja aliyenusurika kifo katika msitu wa Shakahola, Kaunti ya Kilifi, amesimulia kilichojiri...

Seneta mwenye ulemavu wa macho asisimua kwa kuzindua albamu ya HipHop

NA FRIDAH OKACHI SENETA maalum Crystal Asige amezindua albamu mpya inayofahamika kama Blinding Allure, yenye nyimbo sita. Albamu hiyo...

Mfumo wa Agro Ikolojia kuboresha udongo

NA SAMMY WAWERU  AGRO Ikolojia, pia, Kilimo Ikolojia, ni mfumo wa zaraa endelevu unaolenga kuhakikisha matumizi ya pembejeo zenye...

Afafanua umuhimu wa kuzingatia kilimo asilia kwa kudumisha udongo

NA SAMMY WAWERU   KATIKA shamba la Sam Nderitu lililoko eneo la Muguga, Thika lina karibu kila mmea unaozalisha chakula.  Kuanzia...

Johana Chacha: Mwanahabari wa zamani akiri kuwa mateka wa pombe, akitumai mradi wa Pasta Dorcas Gachagua utamuokoa

NA FRIDAH OKACHI MWANAHABARI wa zamani wa kituo cha KTN na K24, Johana Chacha ni miongoni mwa walionufaika kupitia mpango wa kurekebisha...

Janga la mimba lalazimu wanaume wa Sabaot kukaidi mila na kukubali kuzungumzia ngono

NA JESSE CHENGE Ndani ya Kaunti ya Bungoma, katika eneo la Milima ya Elgon, wanaume kutoka Jamii ya Sabaot walikusanyika kwa mkutano...