• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 6:50 AM

Raha ya mjane mchanga wa Kibor wakili akiambia korti anastahili donge alilomegewa kwenye urithi

TITUS OMINDE NA FRIDAH OKACHI Mahakama inayosikiza kesi kuhusu urithi wa mali ya zaidi ya Sh16 bilioni ya marehemu mkulima na...

Viwanda vya chai vyabaki pweke Murang’a wakulima wakiuza majani mabichi kwa pesa za haraka

KNA na SAMMY WAWERU BIASHARA ya kuchuuza majanichai mabichi maeneo yanayolimwa zao hilo katika Kaunti ya Murang’a imesababisha baadhi ya...

Kanisa lafungisha ndoa za pamoja kusaidia kupunguza tabia za ukora wa kimapenzi Teso Kaskazini

KNA NA FRIDAH OKACHI Wanandoa 49 walifunga pingu za maisha katika misa Kaunti ndogo ya Teso Kaskazini iliyofanyika kwenye Kanisa la...

El Nino yaangamiza watu 4 Wajir mafuriko yakilemea kaunti nzima

NA SAMMY WAWERU VIONGOZI kutoka Kaskazini mwa Kenya wanaomba msaada wa dharura kuokoa jamii zinazoishi eneo hilo kame (ASAL) kufuatia...

Maisha ya wanaume yanaendelea kuwa mafupi tangu mlipuko wa corona, watafiti wamebaini

Na CECIL ODONGO Watafiti kutoka Chuo Kikuu cha Carlifornia Marekani wamebaini kuwa mwanya kati ya maisha ya mwanaume na mwanamke...

Mambo yamechemka: Mulamwah, Ruth K watangaza wanatarajia mtoto pamoja

NA FRIDAH OKACHI MPENZI wa Mulamwah, Ruth K ameweka wazi kwamba anao ujauzito kutokana na picha ambayo ameiweka kwenye mtandao wa kijamii...

Nzi aina ya BSF kupunguza gharama ya ufugaji kuku

NA SAMMY WAWERU ENEOBUNGE la Gatanga, Kiambu ni lenye shughuli nyingi za kilimo na ndiko Margaret Macharia anaendeleza ufugaji wa...

Peter Salasya: Mbunge aliyesheheni vituko japo mchapakazi

NA SHABAN MAKOKHA MBUNGE wa Mumias Mashariki Peter Kalerwa (PK) Salasya amekuwa akivuma kwa sababu tofauti tangu achaguliwe kuwa mbunge...

Mbinu maalum anayotumia mfugaji kupata malisho eneo kame ng’ombe wake wazalishe maziwa   

NA SAMMY WAWERU RICHARD Katiso ni mmoja wa wakulima Kaunti ya Makueni wanaomiliki trekta, mfumo wa kisasa kuboresha na kuendeleza...

Asimulia alivyonusurika kifo kwenye ajali mbaya ya barabara kwa tundu la sindano wenzake wakiaga  

NA MERCY KOSKEI JUNI 1, 2013 Simon Mwangi aliabiri matatu na wenzake saa kumi na mbili za jioni kurejea Naivasha, baada ya kuhudhuria...

Pasta Ng’ang’a wa Kanisa la Neno ashangaza kwa kuuzia waumini karatasi za kitabu

NA SAMMY WAWERU MHUBIRI tata James Ng’ang’a wa Kanisa la Neno Evangelism Centre, Nairobi ameshangaza kwa kuuzia washirika wake...

Kanisa la ACK Kajiado linavyohamasisha wakazi jinsi ya kuangazia dhuluma za kijinsia kwenye ndoa  

NA FRIDAH OKACHI KANISA la ACK eneo la Elapolos, Kajiado Kaskazini, limetoa mafunzo za dhuluma ya kijinsia, namna wakazi wanavyoweza...