• Nairobi
  • Last Updated May 5th, 2024 10:50 AM

Pasta Ng’ang’a wa Kanisa la Neno ashangaza kwa kuuzia waumini karatasi za kitabu

NA SAMMY WAWERU MHUBIRI tata James Ng’ang’a wa Kanisa la Neno Evangelism Centre, Nairobi ameshangaza kwa kuuzia washirika wake...

Kanisa la ACK Kajiado linavyohamasisha wakazi jinsi ya kuangazia dhuluma za kijinsia kwenye ndoa  

NA FRIDAH OKACHI KANISA la ACK eneo la Elapolos, Kajiado Kaskazini, limetoa mafunzo za dhuluma ya kijinsia, namna wakazi wanavyoweza...

Kanisa Katoliki laingilia biashara ya kuongeza maziwa thamani kusaidia wafugaji Kiambu 

NA SAMMY WAWERU KANISA la Katoliki limezindua kiwanda cha kuongeza maziwa thamani eneo la Limuru, mradi huo ukilenga kupiga jeki wafugaji...

Msichana wa miaka 17 aeleza jinsi mradi wake wa kupanda miti unavyofaidi jamii 

NA WINNIE ONYANDO IVY Mumbi, msichana mwenye umri wa miaka 17 ana mradi wa kupanda miti na kufikia sasa amepanda miti ipatayo 1,...

Mfanyabiashara anayenunua mende na kunguni Nakuru

RICHARD MAOSI NA DILIGENCE ODONGO MKAZI kutoka Nakuru amewashangaza watu kwa kununua mende na kunguni kutoka kwa wenyeji,...

Msomaji stadi wa Gazeti la ‘Taifa Leo’ aliyelisoma bila miwani licha ya ukongwe wake azikwa  

NA LAWRENCE ONGARO MZEE Samuel Gathenya Mugo mwenye umri wa miaka 106 aliyeenzi kusoma Gazeti la Taifa Leo kwa miaka mingi alizikwa...

Jinsi mhasibu wa benki alichoma Sh1 milioni katika uraibu wa kamari na kubakia na majuto

NA FRIDAH OKACHI MHASIBU Mbugua Karanja alitumia zaidi ya Sh1 milioni za benki kwenye mchezo wa kamari. Uraibu huo ni baada ya mwajiri...

Ahadi ya Ruto kukomesha utekaji nyara yageuka hewa kesi zaidi zikiripotiwa

NA FARHIYA HUSSEIN AHADI ya Rais William Ruto kumaliza tatizo la kupotezwa kwa njia tatanishi iliibuka kama hakikisho kuu wakati...

NDIVYO SIVYO: ‘Kupiga maji’ si sawa na kufyatua choo kichafu

Na ENOCK NYARIKI KWENYE msala mmojawapo katika makazi ya wafanyakazi wa shirika la kibinafsi, yameandikwa maneno yafuatayo: “Tafadhali...

Anapigwa mawe akiyageuza gorofa: Diana Marua aingia orodha ya 10-bora YouTube Afrika Mashariki

NA MERCY KOSKEI Mwanakontenti wa YouTube Diana Marua amepata nafasi ya 10 katika orodha ya wasanii wa kike walio na...

Mcheshi Mtumishi afanyiwa patanisho na mamake

NA FRIDAH OKACHI MCHEKESHAJI Gilbert Barasa almaarufu Mtumishi alipatanishwa na mamake mzazi kupitia njia ya simu na mtangazaji Massawe...

Akothee aliyeoga na kurudi soko, ametwaliwa tena na ‘Ex’ Nelly Oaks?

Na MERCY KOSKEI MWANAMUZIKI Akothee amewaacha wanamitandao na maswali mengi ikiwa wamerudiana na meneja wake wa zamani, Nelson Oyugi...