• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 11:33 PM

Mademu, hakikisheni mnazaa na wanaume walio na akili, Jackie Matubia ashauri

NA FRIDAH OKACHI Mwigizaji Jackie Matubia amesimulia mahangaiko ya kulea wanawe wawili bila kupata usaidizi wa baba zao. Bi Matubia ni...

Masaibu ya chokoraa wa kike wasiopata huduma za upangaji uzazi licha ya dhuluma za kingono

NA FRIDAH OKACHI HOFU ya kudungwa sindano wanayosema huenda ikawa na sumu, imefanya chokoraa wa kike kuwa wazazi wakiwa wangali wadogo...

Jamaa anayetembea na nyuki kichwani Murang’a aomba ufadhili wa mizinga 10, 000  

NA SAMMY WAWERU MWANAMUME eneo la Kigumo, Murang’a anayetembea na nyuki waliomzingira kichwani ameomba viongozi wa kaunti hiyo...

Mzee aliyetumikia ufalme kama dereva asikitika hatakutana na Mfalme Charles

Na WAIKWA MAINA MZEE ambaye alikuwa akiandamana na Mfalme Charles 111 kila mara alipokuwa akizuru Kaunti ya Nyeri akiwa mdogo, alikuwa na...

Akothee amuomboleza Ally B, akikumbuka alivyomsaidia kupata ‘mume’

NA MERCY KOSKEI MWIMBAJI na mfanyabiashara Esther Akoth almaarufu Akothee ameungana na Wakenya, pamoja na watu wengine mashuhuri...

Mwanaharakati Boniface Mwangi akaangwa mitandaoni baada ya kuhukumiwa kifungo jela kwa kuikaidi mahakama

NA FRIDAH OKACHI MWANAHARAKATI Boniface Mwangi amehukumiwa atumikie kifungo cha miezi miwili endapo atashindwa kulipa faini ya Sh300,000...

Nimerudi soko, atangaza Akothee akithibitisha kwa mara ya kwanza kuachana na mzungu

MERCY KOSKEI na FRIDAH OKACHI Mwimbaji na mfanyabiashara Esther Akoth almaarufu Akothee amethibitisha kuwa ndoa yake na Denis Schweizer...

Ruto sasa ashtua watoto wa kuanzia miaka 3 na nauli za treni

NA SAMMY WAWERU SHIRIKA la Reli Nchini limetangaza kutathmini upya ada za usafiri kwa njia ya reli, ambapo sasa watoto watakuwa wakilipiwa...

Siri ya kumudu Karatasi ya Pili ya KCSE Kiswahili kama mtahiniwa

Na CHRIS ADUNGO KARATASI ya Pili katika KCSE Kiswahili huwa na sehemu nne – Ufahamu, Muhtasari/Ufupisho, Sarufi na Matumizi ya Lugha na...

Zari ashobokea shabiki aliyetapeliwa Sh24,000

NA FRIDAH OKACHI MFANYABIASHARA mashuhuri wa Uganda, anayeishi Afrika Kusini, Zari Hassan amefichua mazungumzo yake na shabiki mmoja...

Tambua kwa nini ‘kabeji za kichina’ ndio mpango mzima kwa walio na kiu ya kutafuta pesa

NA RICHARD MAOSI 'Kabeji za Kichina' almaarufu pakchoy zinazidi kupata umaarufu humu nchini kutokana na manufaa yake mengi...

Sababu kuu kufurushwa kwa Kawira kunaweka uoga viongozi wa kike

NA WANDERI KAMAU WANAWAKE wanaohudumu kama magavana nchini wameanza kuwa na wasiwasi kuhusu hatima yao kisiasa, baada ya Gavana Kawira...